Baba Askofu Rev.Dr.Benson Bagonza (PhD):Alipokuwa mchezaji wa Yanga, Simba walimsema ni bomu (dhaifu) na hana lolote

Baba Askofu Rev.Dr.Benson Bagonza (PhD):Alipokuwa mchezaji wa Yanga, Simba walimsema ni bomu (dhaifu) na hana lolote

Mwanahabari Huru

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2015
Posts
14,242
Reaction score
34,903
Alipokuwa mchezaji wa Yanga, Simba walimsema ni bomu (dhaifu) na hana lolote.

Amejiunga na Simba, sasa Simba wanasema wamesajiri jembe la uhakika. Nao Yanga wanasema Simba wamechukua bomu ambalo litawalipukia.

Mchezaji mwenyewe alipokuwa Yanga, alisema yeye ni Yanga na Yanga ni yeye. Hata damu yake alisema ni ya kijani.

Sasa kaenda Simba, anasema hatimaye amefika nyumbani. Anadai hata Mungu alipomuumba alimwambia yeye ni Simba.

Kuna kitu hakiko sawa. Ukiwa muongo usiwe msahaulifu. Ukikosa uaminifu uwe mwangalifu. Umaskini wa fikra unazitafuna siasa na soka la Tanzania. Kuna siku mtamsingizia tasa kuwa ana mimba (na mwenye mimba kuwa tasa).!
 
Alipokuwa mchezaji wa Yanga, Simba walimsema ni bomu (dhaifu) na hana lolote.

Amejiunga na Simba, sasa Simba wanasema wamesajiri jembe la uhakika. Nao Yanga wanasema Simba wamechukua bomu ambalo litawalipukia.

Mchezaji mwenyewe alipokuwa Yanga, alisema yeye ni Yanga na Yanga ni yeye. Hata damu yake alisema ni ya kijani.

Sasa kaenda Simba, anasema hatimaye amefika nyumbani. Anadai hata Mungu alipomuumba alimwambia yeye ni Simba.

Kuna kitu hakiko sawa. Ukiwa muongo usiwe msahaulifu. Ukikosa uaminifu uwe mwangalifu. Umaskini wa fikra unazitafuna siasa na soka la Tanzania. Kuna siku mtamsingizia tasa kuwa ana mimba (na mwenye mimba kuwa tasa).!
Mashinji, Lowasa, Mwambe na Sumaye, and many more, ikitokea leo huyo anayewapa kiburi, paaap amri ya Mungu. Hiyooo KANU imekufa, watasema hayo? Tutaona mengi!
 
Alipokuwa mchezaji wa Yanga, Simba walimsema ni bomu (dhaifu) na hana lolote.

Amejiunga na Simba, sasa Simba wanasema wamesajiri jembe la uhakika. Nao Yanga wanasema Simba wamechukua bomu ambalo litawalipukia.

Mchezaji mwenyewe alipokuwa Yanga, alisema yeye ni Yanga na Yanga ni yeye. Hata damu yake alisema ni ya kijani.

Sasa kaenda Simba, anasema hatimaye amefika nyumbani. Anadai hata Mungu alipomuumba alimwambia yeye ni Simba.

Kuna kitu hakiko sawa. Ukiwa muongo usiwe msahaulifu. Ukikosa uaminifu uwe mwangalifu. Umaskini wa fikra unazitafuna siasa na soka la Tanzania. Kuna siku mtamsingizia tasa kuwa ana mimba (na mwenye mimba kuwa tasa).!

Pole, umeumia, ulisahau jambo moja tu kuwa, huu ni mchezo, lengo kuu ni kutafuta maslahi, mengine yote ni mbwembwe tu, kikubwa maslahi kama ambavyo Mh Askofu nae amekuwa akiyatafuta kwa kuhama kule na kuanzisha huku. Maslahi, maslahi!
 
Baba Asikifu unaona mbali,siyo kama wale akina shehe ubwabwa.
 

Attachments

  • 2310593_2020_02_17_23_37_05_QvhjtgMU3jCObgZl.mp4
    1.5 MB
Mkuu hongera sana kwa uzi ulio shiba maneno ya busara ingawa nawaona kina Haji Manara wakiuvamia huu uzi na kamati zao za ufundi
Alipokuwa mchezaji wa Yanga, Simba walimsema ni bomu (dhaifu) na hana lolote.

Amejiunga na Simba, sasa Simba wanasema wamesajiri jembe la uhakika. Nao Yanga wanasema Simba wamechukua bomu ambalo litawalipukia.

Mchezaji mwenyewe alipokuwa Yanga, alisema yeye ni Yanga na Yanga ni yeye. Hata damu yake alisema ni ya kijani.

Sasa kaenda Simba, anasema hatimaye amefika nyumbani. Anadai hata Mungu alipomuumba alimwambia yeye ni Simba.

Kuna kitu hakiko sawa. Ukiwa muongo usiwe msahaulifu. Ukikosa uaminifu uwe mwangalifu. Umaskini wa fikra unazitafuna siasa na soka la Tanzania. Kuna siku mtamsingizia tasa kuwa ana mimba (na mwenye mimba kuwa tasa).!

In God we Trust
 
Wale walisha amua kujiondolea heshima na sasa wameamua kupigania tumbo lao tu
Baba Asikifu unaona mbali,siyo kama wale akina shehe ubwabwa.

In God we Trust
 
Pole wewe na genge lako mlio kuwa mnakesha kumtukana huyo mchezaji kuwa ni mpenda rushwa na mkajisifu kuwa timu yenu haiwezi kamwe kusajiri mchezaji kama huyo lkn sasa mfadhili wenu kaamua kumsajiri huyo huyo nakuona Haji Manara unaanza kumsifia na kumfananisha na Messi
Pole, umeumia, ulisahau jambo moja tu kuwa, huu ni mchezo, lengo kuu ni kutafuta maslahi, mengine yote ni mbwembwe tu, kikubwa maslahi kama ambavyo Mh Askofu nae amekuwa akiyatafuta kwa kuhama kule na kuanzisha huku. Maslahi, maslahi!

In God we Trust
 
Watabakia kama Lipumba
Mashinji, Lowasa, Mwambe na Sumaye, and many more, ikitokea leo huyo anayewapa kiburi, paaap amri ya Mungu. Hiyooo KANU imekufa, watasema hayo? Tutaona mengi!

In God we Trust
 
Alipokuwa mchezaji wa Yanga, Simba walimsema ni bomu (dhaifu) na hana lolote.

Amejiunga na Simba, sasa Simba wanasema wamesajiri jembe la uhakika. Nao Yanga wanasema Simba wamechukua bomu ambalo litawalipukia.

Mchezaji mwenyewe alipokuwa Yanga, alisema yeye ni Yanga na Yanga ni yeye. Hata damu yake alisema ni ya kijani.

Sasa kaenda Simba, anasema hatimaye amefika nyumbani. Anadai hata Mungu alipomuumba alimwambia yeye ni Simba.

Kuna kitu hakiko sawa. Ukiwa muongo usiwe msahaulifu. Ukikosa uaminifu uwe mwangalifu. Umaskini wa fikra unazitafuna siasa na soka la Tanzania. Kuna siku mtamsingizia tasa kuwa ana mimba (na mwenye mimba kuwa tasa).!
Jambo la kushangaza na kuhuzunisha akina baba tena wenye umri unaotegemewa na vijana kuwa wangekuwa watoa ushauri wenye hekima kwa vijana pia kuonesha kauli zao zenye msimamo chaajabu utaona leo anaahidi kuwa yeye hata akipewa milioni ksdhaa hawezi hama lakini chaajabu baba huyo utashangaa amesha hama!! Hivi mbona wanamama hawafanyi hivyo!!??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ndio msomi kamili
Alipokuwa mchezaji wa Yanga, Simba walimsema ni bomu (dhaifu) na hana lolote.

Amejiunga na Simba, sasa Simba wanasema wamesajiri jembe la uhakika. Nao Yanga wanasema Simba wamechukua bomu ambalo litawalipukia.

Mchezaji mwenyewe alipokuwa Yanga, alisema yeye ni Yanga na Yanga ni yeye. Hata damu yake alisema ni ya kijani.

Sasa kaenda Simba, anasema hatimaye amefika nyumbani. Anadai hata Mungu alipomuumba alimwambia yeye ni Simba.

Kuna kitu hakiko sawa. Ukiwa muongo usiwe msahaulifu. Ukikosa uaminifu uwe mwangalifu. Umaskini wa fikra unazitafuna siasa na soka la Tanzania. Kuna siku mtamsingizia tasa kuwa ana mimba (na mwenye mimba kuwa tasa).!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom