Baba Diamond aomba mwanae amkatie angalau bima ya afya

Kituko gani amefanya mama Chibu? Hayo ni malipo yake ya starehe alizo fanya akiwa kijana bila kujiwekea akiba uzeeni yaani mzee ana micheni shingoni kama mbwa ni wa kumuonea huruma kweli.
Unaweza kula starehe bila kuonekana kuwa against jamii inayokuzunguka. Huyo baba yake hana uzee wowote. Anaendekeza njaa tu, na hii ni baada ya kuona mafanikio.
 
Sidhani kama unatenda dhambi yoyote kutomuonea huruma. Hana ulemavu wowote ila anaendekeza njaa tu. Hayo mafanikio yasingekuwepo angefanya nini!
 
Huyu dingi ...ashike mike aingie mtaani...aanze kuimba ....ashindane na mwanae.... atapata fedha....kiasi chake
 
Diamond hana wajibu wa kumtuza baba yake someni vitabu vya dini hata sheria. Mzee baba ndie alikuwa na wajibu wa kumtunza mtoto hakufanya hivyo. Nachokiona huyu mzee hana shida kama anavyodai bali ni mzee mpenda makuu, anataka gari atembelee wateja wake tena gari hilo anunuliwe na mtoto aliemtupa. Ajabu sana. Diamond rudisha roho sio kwa sababau unampenda huyo mzee bali kwa ajili ya jina lako huyu mzee anaweza kukutia nuksi na maneno yake.
 
Mzee anakosa 30,000 bima ya afya, anazingua bwana. Apige tu kimya aache kulalamika maana haisaidii
 
Hivi akifa hawatakwenda msibani?
Watakwenda Mkuu, gharama za msiba watazibeba....
Na Mama Domo atatoa na Machozi, akilia akisema Japo tulikua na utofauti Ila ni Mzazi mwenzangu Kafa!

Hela za Domo Sasa zinaliwa na Baba wa Kambo wa Domo, kwa kazi ya kusimamia Ukucha tu .......
Mwanamke ni Nyoko....!
 

Wanatia aibu sana hawa domo na mama yake
 
Hapo mama domo ndiyo kavuruga yote, ila tusubiri tuone mwisho, BABA NI BABA TU..Kama unazo saidia...
 
Kumbe huyu mzee ni miaka 52 tu, aache kulialia apambane. Jana nimesoma mahali mwenzake wa miaka 52 kasaini mkataba wa miaka 3 kuchezea timu ya daraja la kwanza huko Japan.
Wabongo kwa uvivu wetu tunapenda sana kutafuta excuses na kuwatupia watu lawama.
 
habari ya 2018 ana 55 sasa
 
Kama alivyokuwa mdogo angekua unamwambia apitie kijiweni kwake manzese aje achukue pesa ya kununulia mihogo shule wala asingemsahau
 
Siku huyu Baba akipoteza uhai Diamond ajiandae kuwa attacked sana, labda yeye amtangulie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…