Umeona eeer wapumbavu kweli hawaWapumbavu sana nyinyi
kwani kwenda msibani ni dhambi?Hivi akifa hawatakwenda msibani?
Za kikristu zinatupa haya mafundisho ya kusamehe saba mara sabini, SIJUI DINI ZINGINEKusamehe ni upumbavu? Sidhani Kama dini zinatupa mafundisho hayo
Vyombo vya habari ktk kutafuta habari za kuuzia magazeti na kupata viewer kwenye blog zao ndio uwa wanamfuata huyo mzee,but ni aibu kwa diamond kumfanyia haya baba yake mzazi,hata kama kuna tofauti kati yao amgejaribu kuificha japo kwa vijimsaada vidogo vidogo ili isifikie hatua km hiyo ya maradhi na kushindwa kupata kumudu gharama za matibabu,shame on him,angetuuliza sisi ambao Baba zetu wametangulia mbele ya haki tungemuambia thamani ya Baba ilivyoWatajaza wenyewe na maisha yao. Ila niseme tu huyo baba awache kulalamika kwenye vyombo vya habari sababu suluhu haipatikani huko.
hizo ni dua za kuku!dingi piga chini uyo mtoto fanya km ukuzaa tu maana unalalamika sana alafu akuna msaada wowote isitoshe wewe ni baba yule mtoto muache afanye mambo yake pigana kiume usimame imara,ipo siku umuhimu wako utaonekana
Hakuna mtu anapenda kuonekana dhaifu au kujidhalilisha boss, ukiona mtu mpaka ana yatoa kwenye public ujue ngoma ngumu.Hii inaweza kumshusha pia kimziki na hata kiuchumi. Mzee amelalamika siku nyingi sana, amtunze
Hivi unadhani Peter Manyika mwanae amekuwa golikipa by accident au by chance??Mkuu hakuna kitu inauma kama mtu wako wa karibu zaidi kuwa sehemu ya maadui......automatic ukimpenda mwanau nae lazima akupende so na chibu akizingua kwa wanae ajue anajitengenezea haya yanayompata baba chibu ila akiwapenda na kuwahudumia abadani laana hii haiwezi kumpata kwa kutomsamehe mzazi wake wa kiume.
kama mzazi alishindwa kuwasamehe( kama walimkosea akawakimbia) hii ya mtoto kusamehe itatoka wapi ilihali mtoto wa nyoka ni nyoka.Za kikristu zinatupa haya mafundisho ya kusamehe saba mara sabini, SIJUI DINI ZINGINE
Hakuna mchuno kwenye njaa weweWakati mwingine wanaume tumeumbwa kuteseka kweli tunaweza tukawa tunamlaumu mzee kumbe mwenye kosa ni mama afu akamlisha matango mtoto, hii story naona ka imelala upande mmoja ningekuwa huyo mzee ningeuchuna nife kivyangu yann kujipendekeza sana unawapa raha hao ndo wanachotaka
Na katika hili, UKRISTU UNASEMA, KISASI NI JUU YA BWANA... hatutakiwi kufanyiana visasikama mzazi alishindwa kuwasamehe( kama walimkosea akawakimbia) hii ya mtoto kusamehe itatoka wapi ilihali mtoto wa nyoka ni nyoka.
me naomba aendelee kuonyooshwa tu hadi mwisho ili iwe elimu tosha kwa watu wapuuzi kama yeye.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Shida sio diamond...Ila hii ni roho ngumu.
Siku ya kuzaliwa kagawa zawadi na kafungua mradi wa bodaboda kwa watu wa Tandale, baba yake hamjali?
Ingekuwa mwanamke labda ningeelewa katekwa na mama yake, ila yeye ni mwanaume tena ana tabia za ufuska kuliko alivyokuwa kuwa huyo babake anashindwaje kuelewa kuna wakati mwanaume akishikwa na mwanamke mjanja yuko radhi hata kutelekeza familia.