Sina uhakika which is which bt nachojua Manyika jr amefuata nyayo za baba yake na hayo ni matokeo ya ukaribu wa baba kwa mtoto na kinyume chake.Hivi unadhani Peter Manyika mwanae amekuwa golikipa by accident au by chance??
Watakwenda tena na sifa kemkem watamtupia kwamba alikua mtu mzuri BINADAMU tuna viburi sanaHivi akifa hawatakwenda msibani?
Baba mwenye busara na anaye jua aliteleza wapi hawezi kulia lia mbele za watu kutafuta suluhisho bila kushirikisha watu alio kosana nao.Hivi baba mzazi kweli unaenda lalamika kwenye mitandao ili iweje?
Anashindwa kumtafuta kwa simu na kumuita
Baba ni baba tu sidhani kama mtoto anaweza kumkatia simu au kukataa kumuona
Kwa kweli ni mambo magumu sana ila kama anapata hela kidogo kwa ajili ya kuongea na wanahabari basi atulie ale hizo senti wanazompa kwa kujianika
Noma sana mkuu.Watakwenda tena na sifa kemkem watamtupia kwamba alikua mtu mzuri BINADAMU tuna viburi sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Labda mama ake akiwa amekufaa...!!Niye mutaalibu mambo bana, ishu iliuopo Diamond kaandaa siku yake ya Baba iyo ndio siku atamsamee na kumchua kumpeleka kwenye nyumba yake na kumfungulia biashara, pesa kwenye account, bima na gari.
Mutaaribu mambo, hii ni siri nimeitoa.
Manyika amekuwa kipa sababu yupo karibu na baba yake na baba yake ndiye trainer wake tokea yupo mtoto mpaka anakuwa.Hivi unadhani Peter Manyika mwanae amekuwa golikipa by accident au by chance??
Halafu huna hoja unaishia kutoa maneno ya mkato!!! Au ndiye Chibu mwenyewe??!!Endeleeni na ujinga wenu
[emoji23][emoji23][emoji23]uyo Mboso mkuuHalafu huna hoja unaishia kutoa maneno ya mkato!!! Au ndiye Chibu mwenyewe??!!
Baba ake alianza kuwa mbaya....!! Diamond anamsikiliza sana mama ake hilo ndo tatzo"Lakini mtu ye yote asiyewatunza walio wake, yaani, wale wa nyumbani mwake hasa, ameikana Imani, tena ni mbaya kuliko mtu asiyeamini."
(1 Timotheo 5: )
Mtu amtagi Baba Dimond please apate ABC hapa kabla Dimond ajawaomba mod wafute hii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Baba mwenye busara na anaye jua aliteleza wapi hawezi kulia lia mbele za watu kutafuta suluhisho bila kushirikisha watu alio kosana nao.
Ambacho angefanya tangu mwanzo, angeonana na mzazi mwenzie kuyaweka sawa matatizo yao. Angemwita Nasibu (sio Diamond) nyumbani,angemuelekeza matatizo yaliyo pelekea kutengana na mama yake pasipo kuingia kiundani maana bado ni mtoto tu. Mwisho angemuomba msamaha mwanae.
Muda wa kuondoka angempa mwanae zawadi ya hata pea moja ya raba na tisheti kukumbushia zamani alivyo kuwa anamjali. Angemuomba awe anafika mara nyingi awezavyo pindi apatapo nafasi.
Kutumia vyombo vya habari mara nyingi huumiza upande wa pili. Ni sawa na mambo yangu ya ndani nije niyasikie mtaa wa pili.
Mzazi ana nafasi ya kumpata mwanae ikiwa tu atajishusha maana mwenye kosa ni yeye.
Sasa rafiki kama mtu aliweka mbegu kwa starehe zake kisha akasepa na hakufanya matunzo yoyote yale huyo mtu anastahili msaada wa nini sasa?"Lakini mtu ye yote asiyewatunza walio wake, yaani, wale wa nyumbani mwake hasa, ameikana Imani, tena ni mbaya kuliko mtu asiyeamini."
(1 Timotheo 5: )
Naafikiana na wewe kabisa ila huyu mzee anataka sympathy kwa watu wa nje.Baba mwenye busara na anaye jua aliteleza wapi hawezi kulia lia mbele za watu kutafuta suluhisho bila kushirikisha watu alio kosana nao.
Ambacho angefanya tangu mwanzo, angeonana na mzazi mwenzie kuyaweka sawa matatizo yao. Angemwita Nasibu (sio Diamond) nyumbani,angemuelekeza matatizo yaliyo pelekea kutengana na mama yake pasipo kuingia kiundani maana bado ni mtoto tu. Mwisho angemuomba msamaha mwanae.
Muda wa kuondoka angempa mwanae zawadi ya hata pea moja ya raba na tisheti kukumbushia zamani alivyo kuwa anamjali. Angemuomba awe anafika mara nyingi awezavyo pindi apatapo nafasi.
Kutumia vyombo vya habari mara nyingi huumiza upande wa pili. Ni sawa na mambo yangu ya ndani nije niyasikie mtaa wa pili.
Mzazi ana nafasi ya kumpata mwanae ikiwa tu atajishusha maana mwenye kosa ni yeye.