Baba Diamond: Usisubiri nife mwanangu, nipeleke Hospitali

Hivi alipomtelekeza wakati huo akiwa mtoto, je angekufa kwa kukosa huduma au angekuwa teja au mvuta bangi hiyo risala leo hii angemtolea nani?

Siungi mkono hoja acha baba avune alichopanda iwe funzo kwa wababa wengine sharo baro kama yeye.

Like.
Ningekuwa baba Diamond ningesema hivi:
Sistahili msaada wowote kutoka kwa mwanangu kwa kuwa nilimtelekeza, ila namuombea kila kheri.

Kitendo cha baba diamond kulalamika ktk media kinaonyesha kuwa anazidi kumtelekeza na kumuombea mabaya.
 
Anachotakiwa kufanya Diamond ni kuangalia namna bora ya kuwasaidia wengineo wanaoteseka kwa kutelekezwa.

Mfano kuanzisha NGO or the like kwa wanaoteseka kwa kutelekezwa.
 

Ivi kweli huyo ndo baba yake au kuna mwingine?
 
Diamond amsaidie tu asijali alichotendewa na faza wake mungu atakulipa mbele ya safari na ubaya aliofanyiwa pia baba yke atalipwa kwa allah,
 



Kha!! .....huu mwandiko,unatumia citizen calculator???
 
Hivi baba akikupiga kibao utamrudishia.? Ikiwa mnasema yesu alikubali kusulibiwa ili wengine wasamehewe dhambi kwann hamjiulizi kusamehewa kwenu kulitokana na kosa la nani.. Baba ni baba haijalishi ana watoto wengine au hana kumsaidia ni wajibu wake
 

Kama aliweza kumpa gari mtu asiye ndugu yake!

Anapaswa kumsaidia babaye!

Na hata kama Huyo si babaye,kesha mwomba msaada,KAMA ANA TAARIFA HIZO amsaidie.

Si wanasemaga wao ni vioo!
 
Kama aliweza kumpa gari mtu asiye ndugu yake!

Anapaswa kumsaidia babaye!

Na hata kama Huyo si babaye,kesha mwomba msaada,KAMA ANA TAARIFA HIZO amsaidie.

Si wanasemaga wao ni vioo!

Pamoja na hayo,hv huyo baba hana watoto wengine?
 

Inawezekana pia mungu kampangia Diamond asimsaidie baba yake maana yote ni mipango ya mungu
 
Pamoja na hayo,hv huyo baba hana watoto wengine?

Nachojua mimi,baba ni baba,na baba ni mmoja.

Hata kama alimkosea.NI WAKATI WAKE NA YEYE KUFUNDISHA WATU KUSAMEHE!

ni aibu mzazi wako akifa kwa kukosa dawa,na msaada alikuomba.NAWE UWEZO WA KUMSAIDIA UNAO!

Baba karudi kwa mwanaye.
Kama king majuto alivyorudi kwa jb.

Ila yote 100, kutoa ni moyo,

Wapo watao msaidia hata bila kuombwa,ila yeye angejisikia mwenye amani kama angesaidiwa na mwanae.

Hakuna mkamilifu,kama baba yake alikosea,basi naye asipomsamehe na kumsaidia anakosea pia.
 
Huyu baba anatafuta huruma aiseeee kipindi anamuacha alikua wapiii asituharibie siku ye aumwe ajiuguze tu kwani alimzaa daimond peke yake kelebu wahed😰😰😰😰😰😰😰😰😰😰

Mi kwanz nlijua senga yule mchekeshaji hahhahahaah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…