Baba Levo anabusu wanawake wa Kiarabu muda wote huko Qatar, akija kupewa kesi ya 'incident assault' sijui nani atamtoa jela!

Baba Levo ni mshamba sana kuna mataifa hata kumshika mkono mwanamke bila ridhaa yake ni unyanyasaji wa kijinsia,
 
Ni ushamba tu unasumbua watu! Binafsi sipendi watu wa hivyo aisee hata tukikutana kwenye semina za kikazi huwa wananikera sana wenye vitabia vya kudandia dandia wadada

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Imekukera rangi ya mtume kupigwa busu,kwako inapendeza waarabu wakiwala dada zenu au sio?ama kweli utumwa bado upo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…