Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787]Tena wana mafuta yakiarabu wakimmiminia tu inateleza utaskia *habibiii come to Qatar
Ila baba levo anaakili kukuzidi pengine ukoo wako mzima hakuna wa kumfikiaHuwa nashangaa huyu jamaa alikua diwani aisee hii nchi haiiahiwi vituko
Ona hili jinga wewe na huyo Mama levo hamuwezi hata kuolewa ukoo wetuIla baba levo anaakili kukuzidi pengine ukoo wako mzima hakuna wa kumfikia
Imekukera rangi ya mtume kupigwa busu,kwako inapendeza waarabu wakiwala dada zenu au sio?ama kweli utumwa bado upo!Ushamba wenu na majikwezo yaishie Afrika tena siyo nchi za Kiarabu kwa wafia dini. Muwe mnasoma mazingira ya nchi unayoenda kama watu wakubwa na pesa zao wamezuiliwa kutumia vilevi na kutangaza ushoga sasa wewe kapuku mwenzangu uliyeenda kwa sponsorship ya Wasafi TV jifanye mjuaji mjanja wa town kumbe umetoka Kigoma huko mipaka ya Burundi.
Kuweni makini vijana, siyo kila unapokutana na binti wa Kiarabu nikumshika mkono na kumbusu mpaka unamwachia mate, siku wakikunasa kamati ya roho mbaya utajuta na hakuna wakukutoa labda aende Mama mnayempigia promo anaupiga mwingi hapo utachomolewa bangili. Hao ni Waarabu syio Mashalove wala Zuchu. Shaulileni!
Hii ni nini? Utu ni muhimu kuliko kitu chochote kile hapa chini ya jua.