Baba Levo anabusu wanawake wa Kiarabu muda wote huko Qatar, akija kupewa kesi ya 'incident assault' sijui nani atamtoa jela!

Baba Levo anabusu wanawake wa Kiarabu muda wote huko Qatar, akija kupewa kesi ya 'incident assault' sijui nani atamtoa jela!

Baba Levo ni mshamba sana kuna mataifa hata kumshika mkono mwanamke bila ridhaa yake ni unyanyasaji wa kijinsia,
 
Ni ushamba tu unasumbua watu! Binafsi sipendi watu wa hivyo aisee hata tukikutana kwenye semina za kikazi huwa wananikera sana wenye vitabia vya kudandia dandia wadada

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Ushamba wenu na majikwezo yaishie Afrika tena siyo nchi za Kiarabu kwa wafia dini. Muwe mnasoma mazingira ya nchi unayoenda kama watu wakubwa na pesa zao wamezuiliwa kutumia vilevi na kutangaza ushoga sasa wewe kapuku mwenzangu uliyeenda kwa sponsorship ya Wasafi TV jifanye mjuaji mjanja wa town kumbe umetoka Kigoma huko mipaka ya Burundi.

Kuweni makini vijana, siyo kila unapokutana na binti wa Kiarabu nikumshika mkono na kumbusu mpaka unamwachia mate, siku wakikunasa kamati ya roho mbaya utajuta na hakuna wakukutoa labda aende Mama mnayempigia promo anaupiga mwingi hapo utachomolewa bangili. Hao ni Waarabu syio Mashalove wala Zuchu. Shaulileni!
Imekukera rangi ya mtume kupigwa busu,kwako inapendeza waarabu wakiwala dada zenu au sio?ama kweli utumwa bado upo!
 
Back
Top Bottom