Baba Levo anabusu wanawake wa Kiarabu muda wote huko Qatar, akija kupewa kesi ya 'incident assault' sijui nani atamtoa jela!

Baba Levo anabusu wanawake wa Kiarabu muda wote huko Qatar, akija kupewa kesi ya 'incident assault' sijui nani atamtoa jela!

Na wewe wabusu wale dada zako wa mpwayungu village! Halafu ukimaliza kuwabusu, waambie ale alee!!
Mimi sio mshamba nipo smart sana, sijaoa ila hata kuzini na mwanamke na fanya Kwa siri nzito mpaka Leo wanaonifahamu wanasema sijawahi kuwa na demu Wala kuonja mbususu. Kuwashikashika hovyo ni against human dignity nawanaofanya hv ni waafrika mapunguani kama mwijaku na baba Levo
 
Ni wivu tu.utakuta n msomi ambae hana ata passport ya kusafiria nje ya nchi. Kula maisha atakutoa alie kupeleka
 
Ushamba wenu na majikwezo yaishie Afrika tena siyo nchi za Kiarabu kwa wafia dini. Muwe mnasoma mazingira ya nchi unayoenda kama watu wakubwa na pesa zao wamezuiliwa kutumia vilevi na kutangaza ushoga sasa wewe kapuku mwenzangu uliyeenda kwa sponsorship ya Wasafi TV jifanye mjuaji mjanja wa town kumbe umetoka Kigoma huko mipaka ya Burundi.

Kuweni makini vijana, siyo kila unapokutana na binti wa Kiarabu nikumshika mkono na kumbusu mpaka unamwachia mate, siku wakikunasa kamati ya roho mbaya utajuta na hakuna wakukutoa labda aende Mama mnayempigia promo anaupiga mwingi hapo utachomolewa bangili. Hao ni Waarabu syio Mashalove wala Zuchu. Shaulileni!
Ataliwa kinyeo chake

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Ushamba wenu na majikwezo yaishie Afrika tena siyo nchi za Kiarabu kwa wafia dini. Muwe mnasoma mazingira ya nchi unayoenda kama watu wakubwa na pesa zao wamezuiliwa kutumia vilevi na kutangaza ushoga sasa wewe kapuku mwenzangu uliyeenda kwa sponsorship ya Wasafi TV jifanye mjuaji mjanja wa town kumbe umetoka Kigoma huko mipaka ya Burundi.

Kuweni makini vijana, siyo kila unapokutana na binti wa Kiarabu nikumshika mkono na kumbusu mpaka unamwachia mate, siku wakikunasa kamati ya roho mbaya utajuta na hakuna wakukutoa labda aende Mama mnayempigia promo anaupiga mwingi hapo utachomolewa bangili. Hao ni Waarabu syio Mashalove wala Zuchu. Shaulileni!
Hivi huyo jamaa ana umri gani hasa?Amepata matokeo yake yaliyotoka ya STD VII?
 
💩
 

Attachments

  • Fh8w3VuWIAEnh7K.jpeg
    Fh8w3VuWIAEnh7K.jpeg
    35.9 KB · Views: 12
mi nadhani tabia ya kumvamia mtu ovyoovyo ni ushamba,binafsi nimekutana na mbuzi leo inashoboka inataka inhug nkakata pembeni nkaendelea na safari zangu sikutaka mambo mengi make nyuma yangu kuna watu walikuwa wanakuja lakini sijapenda kwakweli isitoshe mtu mwenyewe simjui
 
Back
Top Bottom