Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi sio mshamba nipo smart sana, sijaoa ila hata kuzini na mwanamke na fanya Kwa siri nzito mpaka Leo wanaonifahamu wanasema sijawahi kuwa na demu Wala kuonja mbususu. Kuwashikashika hovyo ni against human dignity nawanaofanya hv ni waafrika mapunguani kama mwijaku na baba LevoNa wewe wabusu wale dada zako wa mpwayungu village! Halafu ukimaliza kuwabusu, waambie ale alee!!
KumbeNi wivu tu.utakuta n msomi ambae hana ata passport ya kusafiria nje ya nchi. Kula maisha atakutoa alie kupeleka
Ataliwa kinyeo chakeUshamba wenu na majikwezo yaishie Afrika tena siyo nchi za Kiarabu kwa wafia dini. Muwe mnasoma mazingira ya nchi unayoenda kama watu wakubwa na pesa zao wamezuiliwa kutumia vilevi na kutangaza ushoga sasa wewe kapuku mwenzangu uliyeenda kwa sponsorship ya Wasafi TV jifanye mjuaji mjanja wa town kumbe umetoka Kigoma huko mipaka ya Burundi.
Kuweni makini vijana, siyo kila unapokutana na binti wa Kiarabu nikumshika mkono na kumbusu mpaka unamwachia mate, siku wakikunasa kamati ya roho mbaya utajuta na hakuna wakukutoa labda aende Mama mnayempigia promo anaupiga mwingi hapo utachomolewa bangili. Hao ni Waarabu syio Mashalove wala Zuchu. Shaulileni!
Hawa watu ni noma wakikukalia kooni mpaka utaona bora waliopo kuzimuEti kamati ya roho mbaya
Kabisa
Hao waarabu ndio wanaongoza kwa kufirana uliza dada zetu wanaoenda huko kufanya kazi za ndani. Hakuna wafia dini hapoWeka picha tuone anavyo faidika huko Qatar
Hivi huyo jamaa ana umri gani hasa?Amepata matokeo yake yaliyotoka ya STD VII?Ushamba wenu na majikwezo yaishie Afrika tena siyo nchi za Kiarabu kwa wafia dini. Muwe mnasoma mazingira ya nchi unayoenda kama watu wakubwa na pesa zao wamezuiliwa kutumia vilevi na kutangaza ushoga sasa wewe kapuku mwenzangu uliyeenda kwa sponsorship ya Wasafi TV jifanye mjuaji mjanja wa town kumbe umetoka Kigoma huko mipaka ya Burundi.
Kuweni makini vijana, siyo kila unapokutana na binti wa Kiarabu nikumshika mkono na kumbusu mpaka unamwachia mate, siku wakikunasa kamati ya roho mbaya utajuta na hakuna wakukutoa labda aende Mama mnayempigia promo anaupiga mwingi hapo utachomolewa bangili. Hao ni Waarabu syio Mashalove wala Zuchu. Shaulileni!
Ila ushamba mzigo aiseeNgoja aingie kwenye 18 zao
Mazombiiiii?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji90]