Baba Levo: Kama nikifa leo au kesho basi mjue Harmonize ndio ameniua


Kama ni kweli chanzo cha ugomvi ni kugombania mgao wa hela harmo amejitia aibu sana…. wanavimba utadhani wana hela kumbe wenzetu tu.
 
Muulize aseme kabisa kama tumsafirishe au tuzike mjini tu...
 
Hapo noma anachofanya babalevo kumtengenezea mazingira magumu harmonize ili apige pesa ndefu mahakamani kitendo chake chakupigwa kachukua kama kete ya kumuingizia income mjini shule
Mkuu Kwani kuna nini kati ya baba levo na harmonize?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…