Baba Levo: Mimi ni Mtu wa 'Kiki' na mambo mengi ninayoyafanya huwa Nadanganya tu, kwani 'Kiki' inalipa Tanzania

Cha Msingi Hatuombi sahani ya wali anajitafutia yeye mwenyewe ya nini kujisumbua na yake wakati nasi tuna Yetu pia,,atafute hela tuu vile yeye anaona inafaa na inamlipa vizuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…