Baba mchungaji na Mama mchungaji


Wala sikubishii. Tunahama kwenye andiko la mavazi yampasayo mwanaume, tunakwenda kwenye "kujisitiri". Tunaweza kujadili mavazi ya kujisitiri kwa mwanamke ni yapi?
 
Masanja jina tuuuuu ila sio MTU Wa mwanza
 
Walokole washamba sana,na beach pia mnataka watu waende na magauni?,angekuwa amevaa kinguo cha kubana na anamshepu hapo mngekuwa na haki ya kuongea.Tatizo la bongo hatujui kuwa kila vazi lina wakati na eneo linapopaswa kuvaliwa.ndo maana wadada nguo za kutokea out usiku wanavaa kwenda kufanyia shopping kariakoo.
 
Acha kijana afaidi na mkewe.kuliko wale wanaoruka ruka
 
Hapo alipo Mage Kimambi roho linamuumaaa anamtafuta kwenye radar yake huyu mke wa mchungaji hadi aingie kwenye 18 zake
 
Ndio muda wao mkuu ww unataka mpk wafike uzeeni?acha vijana wafurahie ndoa
 
Acha unyanyapaa kila kiumbe Ana apendacho ye anaona kinyaa Na manyamanyama
 
Masanja jina tuuuuu ila sio MTU Wa mwanza
Nafaham kuwa sio jitu la mwanza mdau lakini kiuhalisia watoto wakike wa mwanza ni wazuri mnoo aisee uwezi katika wote wale na status akachagua msulukuti huo aisee mwanza kwa watoto wakareee kunaongoza ukibisha nawamwaga hapa kama 100 hv alafu umfananishe na huo mfumbati[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ila kumbuka me ni miongoni mwa haters [emoji23][emoji23][emoji23][emoji48][emoji48]msinimaindi sana aisee
 
Mbona wako fresh tu ulitaka wavae masuti? Atleast hamna kiungo cha siri kilicho wazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…