Baba mchungaji na Mama mchungaji

Kula bata na mama mtumishi.achana na maneno ya wanadamu.hawaishiwi maneno hawa.kula kuku.nami nipo njiani ni kuenjoy na mama toto tu saiv
aaah hawana habari. Nimependa mguu wa mama Mchungaji
 
Sio ushamba mkuu. Wanakaririshwa huko kwenye mafundisho yao. halafu wanaogopa kuhoji chochote. Mambo ya ajabu kabisa. Utakuta binti anavaa gauni la mwaka 90 halafu anajiona mtakatifuuu...
 
Well said mkuu. Anayedhani hicho kikaptula ni cha kiume akainunue aivae mdo aje hapa aongee. mavazi ni suala la kitamaduni. Nenda nchi za wenzetu utakuta almost kila mwanamke anavaa suruali mpaka makanisani na ni kitu cha kawaida.
 
Inaonekana wewe hujawahi toka nje ta Tz. Nenda hata hapo south afrika ingia kanisa unaloliheshimu. Utakuta wanawake kibao wamevaa nguo za aina hiyo.

Suala la mavazi ni tamaduni za jamii. Sasa usilazimishe mavazi za huko kweni ziwe za kuvaliwa na kila mtu.
 
Anaweza akawa mtumishi wa Mungu lakini asiyempendeza Mungu kwa vitu vichache na kweli sisi ni barua lazima tusomeke ndani na nje maana maandiko yanasema tusiifuatishe namna ya dunia hii na tusiipende lazima tuwe tofauti kwanzia muonekano mpk ndani ya mioyo yetu.Mbinguni si pa rahisi kama tunavyodhani ndugu zangu wote.Hii tunakumbushana tu tuew makini.
 
Mungu haangalii Mwili bali Roho
Nikusahihishe kidogo soma biblia vizuri inasema Miili yenu ni hekalu la Roho Mtakatifu sio roho zetu tu pia na miili so tuwe makini wapendwa. 1Korintho 6:19.
 
Kwa mungu anayerandaranda duniani leo Masanja naye ni mchungaji, kila mtu anaweza kuwa mchungaji leo. Hebu tembelea makanisani leo uone mambo yanayoendelea! Ukifikiria sana unaweza kutafuta dunia yako mwenyewe, acha tu tusubiri siku ya hukumu!
 
Mkuu unachembe'chembe za uwestern!! maana bongo mko wachache wanaume wengi yao chura. Makofi kwa models [emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
Mamodel utawajua tu.....ngoja nami nikazane na gym niwe model.......
 
Mamodel utawajua tu.....ngoja nami nikazane na gym niwe model.......
Usiende gym bana, sisi wengine tunakuhitaji hivyo hivyo ulivyo. mamodel hawana hata nyama ya kupapasa. Mifupa nje nje.
 
Usiende gym bana, sisi wengine tunakuhitaji hivyo hivyo ulivyo. mamodel hawana hata nyama ya kupapasa. Mifupa nje nje.
Ah inanipa limit ya nguo...mie madela tu kwa kwenda mbele nashndwa kuvaa vikaptula kama huyo.......
 
Hivi mkuu huja wahi kwenda beach halafu ukakuta watu wamepiga hijab zao furesh tuu!?

Japo siungi mkono kumlazimisha mtu avaeje, ila hao wanao lalamika nao wana sababu zao.
 
makanisa ya kiroho na changa moto zake,sasa hivi naona hata katoliki wanavutwa kwa kasi na makanisa ya kiroho wameamua kulegeza baadhi ya kanuni pia..!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…