Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
HABARINI wapendwa
Tuna mzee wetu aliamua kuwa msimamizi WA MIRATHI ya kaka yake
Sasa KIKAO wakamua WAGAWANE mali zote sawa...
Kilichofwata mzee akaandika yule WA Nje amepewa mali zaidi ya wenzie
Kukawa na mfarakanoo TUKAENDA kwenye mavikao
Mwisho wajukuu tukajipanga JAMAN huyu WA kumwondoa kwanza TUKAENDA MAHAKAMAN tukamwondoa ilikuwa mshike mshike
Toka HAPO
Wametengana na mkewe VYUMBA akiwambia anatia Siri za pale ndani
GAFLA yule mzee AKANZA kuingiza waganga kwenye Ile nyumba wanaroga mbaya
Yule mama akakimbia akahisi wanamloga akaitwa na MMOJA WA waganga akarudi nyumban akambiwa Wala haikuhusu wewe mama uwe na amani
Mama katonya watoto babayenu anawachomea udi uvumba kila siku
Watoto wawili wako kiroho zaidi wakapiga Sala mbaya KUFUNGA na KUOMBA..mzee akategukanenkab wakapiga oggo
Ameppona wiki iliyopita akaleta wahuni WA kuloga
Mama kapiga wamekuja Tena simamemni kwenye MAOMBIII...
Leo hii mzee kapata ajali ya gari mbaya hukomoroo gari imeisha
Yeye ULE mguu umeshtuka Tena wamemlza hospt
Ukiacha maombi yenu kwake ingawa WANASEMA mchawii afe
Sijui tumsaidiaje kiroho
Wan fellowship karibuni sana
Tuna mzee wetu aliamua kuwa msimamizi WA MIRATHI ya kaka yake
Sasa KIKAO wakamua WAGAWANE mali zote sawa...
Kilichofwata mzee akaandika yule WA Nje amepewa mali zaidi ya wenzie
Kukawa na mfarakanoo TUKAENDA kwenye mavikao
Mwisho wajukuu tukajipanga JAMAN huyu WA kumwondoa kwanza TUKAENDA MAHAKAMAN tukamwondoa ilikuwa mshike mshike
Toka HAPO
Wametengana na mkewe VYUMBA akiwambia anatia Siri za pale ndani
GAFLA yule mzee AKANZA kuingiza waganga kwenye Ile nyumba wanaroga mbaya
Yule mama akakimbia akahisi wanamloga akaitwa na MMOJA WA waganga akarudi nyumban akambiwa Wala haikuhusu wewe mama uwe na amani
Mama katonya watoto babayenu anawachomea udi uvumba kila siku
Watoto wawili wako kiroho zaidi wakapiga Sala mbaya KUFUNGA na KUOMBA..mzee akategukanenkab wakapiga oggo
Ameppona wiki iliyopita akaleta wahuni WA kuloga
Mama kapiga wamekuja Tena simamemni kwenye MAOMBIII...
Leo hii mzee kapata ajali ya gari mbaya hukomoroo gari imeisha
Yeye ULE mguu umeshtuka Tena wamemlza hospt
Ukiacha maombi yenu kwake ingawa WANASEMA mchawii afe
Sijui tumsaidiaje kiroho
Wan fellowship karibuni sana