TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Huyu baba mdogo hana jina lake halisi?! Nachelea kutoa R.I.P mpaka nijue jina lake kamiliFamilia ya Freeman Aikael Mbowe wametangaza kifo cha Baba Mdogo wa Mbowe aliyefariki baada ya kupata mshtuko baada ya kupata taarifa za mwanaye kutuhumiwa Ugaidi...
Ah ni ukuu wa mungu ulio muondoa mwendazake ndio ulio muondoa na huyu pia sivyo?
Pole kwa familia
Hiyo ni kwa mujibu wa nani?Tatizo kubwa hatusomi na upeo wa kuona duni. Hakipo cha kuogofya wala cha ajabu. Sababu 4 za vifo vya mtu:
View attachment 1864455
#4 ina mhusu sana shujaa wako...
Hiyo ni kwa mujibu wa nani?
Kwahiyo kigezo cha kufa kwasababu ya dhambi hakipo tena ndugu msomi?Ipo kwenye rejea nilizoweka hapo. Uvivu unaendelea, hamsomi.
Nendeni shule kuongeza maarifa.
Mimi na wewe aliyesema hayo ni nani? Mimi nimesema "Oneday Yes! Mungu sio Mwanadamu". Ndugu naomba upunguze Chuki, inaua. Dini zinatuasa kulia na wanaolia na kusikitika na wanaosikitika.Naam Mungu si mwanadamu anaweza kumchukua mja wake yeyote na wakati wowote autakao yeye.
Hivyo tabia ya kusema mtu fulani kafa kwasababu anadhambi sanaa eti Mungu kamuondoa kwasababu ya madhambi ikome kabisa.
Mungu halali wala hasinzii, atajibu kwa wakati muafaka kama alivyotufanyiwa mwezi machi mwaka huuFamilia ya Freeman Aikael Mbowe wametangaza kifo cha Baba Mdogo wa Mbowe aliyefariki baada ya kupata mshtuko baada ya kupata taarifa za mwanaye kutuhumiwa Ugaidi
Amefariki Hospitali ya Machame Julai 23, alikopelekwa baada ya kupata mshtuko
Freeman Mbowe ametuhumiwa kupanga njama za ugaidi na kuua viongozi wa serikali
View attachment 1864435
MjukuuIpo kwenye rejea nilizoweka hapo. Uvivu unaendelea, hamsomi.
Nendeni shule kuongeza maarifa.
Aisee,so ikiwa hivyo mipango inapandaMungu halali wala hasinzii, atajibu kwa wakati muafaka kama alivyotufanyiwa mwezi machi mwaka huu
Ume RIP then uka Undo kwa hiyo comment juu ...R.i.p
Ila utoto sana huu. You dont seek sympathy down this route...
Usidhihaki msiba.usimtukane mkunga na uzazi ungalipo,usirudie kosa Kwa sababu mwenzako alikosea na mbele ya mungu kila mtu anahukumiwa Kwa makosa yake.Pole familia ya mbowe. Na mbele ya mungu kila Jambo Lina kusudi lake.Amen
Hii familia inaandamwa sana na vifo vya matatizo ya kupumua!! Kweli chanjo iwe ni lazimaFamilia ya Freeman Aikael Mbowe wametangaza kifo cha Baba Mdogo wa Mbowe aliyefariki baada ya kupata mshtuko baada ya kupata taarifa za mwanaye kutuhumiwa Ugaidi
Amefariki Hospitali ya Machame Julai 23, alikopelekwa baada ya kupata mshtuko
Freeman Mbowe ametuhumiwa kupanga njama za ugaidi na kuua viongozi wa serikali
View attachment 1864435