Baba mkwe hataki nihame kwake

Wewe si ulisema unafundisha UDSM? Kumbe ni masikini fukara choka mbaya! I seeee! Jamii Forums inaficha mengi!
 
Ehee namm Hilo nmeliona, tatizo ni kama ananitisha nsiondoke,, leo asbui napiga mswaki naona viusalama wa Taifa vinazunguka zunguka kwa nje, ukicheki tarehe za mshahara zmekaribia
Mkuu paye ya mshahara wa 2m unakatwa ngapi, au wewe hukatwi????
 
Ehee namm Hilo nmeliona, tatizo ni kama ananitisha nsiondoke,, leo asbui napiga mswaki naona viusalama wa Taifa vinazunguka zunguka kwa nje, ukicheki tarehe za mshahara zmekaribia
Lugha yako siielewi ujue tangu umefungua uzi
Hao usalama ni maneno ya mtaani kama mgambo ama watoto wake
Unanichanganya ujue 😄
 
Anataka mpaka mpate waume muolewe ndo awaruhusu mkakae kwenu na waume zenu.
 
Hapa jf kusaidiana mchek huyo jamaa akupe huduma ya haraka ya kuiba kitanda na wewe na wewe ukajiiba ( Maana ulikuwa una lelewa) wote mkae kwenye boda usepe kwa wakati mmoja.

Ukiachana na chuki za comment hii basi imejaa moyo wa kumsaidia mtu mana vijana ni kusaidiana.
 
Mbona imewekewa Tetesi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…