Baba mkwe hataki nihame kwake

Kwahiyo mzee uliolewa
 
Wewe ndo ulisema ni mwalimu wa chuo kikuu? Unasema unataka uibe kitanda?
Itakuwa amesahau kama alisema hivyo - kama yeye ni mwalimu wa chuo kikuu, ndio matatizo ya kusema uongo - ni lazima uwe na akili sana ya kukumbuka vitu unavyoongopa - ukisahau tu; unachanganya madawa.
 
Mimi nilijua Unataka utoke kwa baba mkwe ili uhamie kwako kumbe unaenda kupanga na hapo mwanzo kabla ya kuanza kulelewa na baba mkwe na mtoto wake ulikuwa umepanga sawa panga pangua nenda kapange ila kuwa makini usije ukafia kwenye nyumba za kupanga
 
Punguza hasra eeeeebooo tuliaaaaa nasema tuliaaaa hii ndo jf kboko ya watukutu tuliaaaa umeleta tatizo mezan subir tulifanyie kazi
 
Hama mkuu isije kuwa tayari umeshageuzwa msukule wa kuwaingizia fedha.
 
Sasa kitanda cha nini kama anahela nyingi hivo? Si aondoke tu ataenda kununua upya? Maana kwake hela si tatizo
 
We jamaa si bure.....ulianzaje kuishi ukweni?
 
Huyu Dem sijamuoa, ni Dem tu ila ninaishi kwenye nyumba alopewa na baba ake.
Dem saivi Yuko Ulaya lakini.
Mkuu kama demu hujaoa na umewekwa hapo ukweni kwenye nyumba ,,
basi lazima uelewe umewekwa hapo ulinde nyumba,,.
siku huyo unayemuita mpnz akipata wa kumkuna kipele huko alipo basi itakuwa ndy safari yako ya kuhama nyumba imewadia. rasmi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…