Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante sana mkuu mimi sina kinyongo nae nishamsamehe ila kurudi kwake ndio siwezi nafanya maisha yangu kwasasa
Maneno makali Sana haya MkuuMADHARA YA KUOA SINGLE MOTHER!
Sasa si ndio na wewe pakujiinulia hapo.Anadai Hadi chuo
na wewe wacha utabiri mbaya, lete uthibitisho wa hayo unayoyasema. Sasa ulitaka mtoto akae upande gani ikiwa baba mwenyewe anaonyesha chuki?Mnaooa single mother, mkumbuke akiwa na mtoto wa kiume kataa, kimbia au ujiandae na vita mbeleni.
Maana katakuja kuwa kikwazo kwenye maisha yako baadaeb, ukimsoma na kuchambua kwa makini utagundua huyu kijana yupo upande mmoja na mama yake.
Huyu kijana na mama yake ndio uthibitishona wewe wacha utabiri mbaya, lete uthibitisho wa hayo unayoyasema. Sasa ulitaka mtoto akae upande gani ikiwa baba mwenyewe anaonyesha chuki?
Sio kweli mkuu mimi sina upande wowote ila sijataka kuingilia ugomvi wao ila kilicho nishtua ni kwamba aliposema alipwe fidia Kwa kunisomesha tena mahakamani.Mnaooa single mother, mkumbuke akiwa na mtoto wa kiume kataa, kimbia au ujiandae na vita mbeleni.
Maana katakuja kuwa kikwazo kwenye maisha yako baadaeb, ukimsoma na kuchambua kwa makini utagundua huyu kijana yupo upande mmoja na mama yake.
huna sababu youote ya kulipa fidia,na mwambie waziwazi kuwa hutamlipa fidia na hana popote pa kukupeleka,ama kuhusu ugombi wake na mkewe,ambae ni mama yako,waachie waoHabirini wana jamvi,
Nimeona nilete kisa hiki jamvini mimi ni kijana nimelelewa na baba MLEZI na kanisomesha Hadi form six, na alitaka niishie hapo nisiendelee mbele.
Mimi nililazimisha kwenda chuo kwasababu malengo yangu hayakuwa niishie form six maana matokeo yangu yaliruhusu kwenda kujiunga na chuo, na hapo ndipo shida, matatizo na migogoro ilipoanzia maana Hadi na apply vyuo sikumwambia sababu hakuwa na point ya yenye uzito ya mimi kutoenda chuo, mfano wa sababu zake zilikuwa "chuo ni kupoteza muda" Sasa ikifika siku ya mimi kwenda kuripoti chuo nilikchokuwa nmechaguliwa niliona ni vyema nimuage Kisha nianze safari, lakini cha ajabu yeye alinijbu " we nenda lakini usiniambie wala usinihusishe Kwa lolote"
Baada ya kufika chuo nikaona nimjulishe kama nmefika salama lakini hakunipokelea simu zangu na hakuwahi kupokea simu zangu kuanzia hapo na hakuwahi ata kunipigia simu nikaona isiwe kesi nikamjulisha mama kuwa sipokelewi simu akajibu " endelea kumpigia usiache" nikaendelea kumpigia simu bila matokeo yoyote
Ikabidi niwe napiga Kwa mama ndipo mama ampatie simu niongee nae nilkuwa naumia ila nilijikaza, na nyumban wakawa hawaelewan ugomvi kila kukicha
Kipindi tunakaribia kufunga chuo nilikuwa sitamani kabisa kurudi nyumbani kwasababu ya hiyo migogoro.
Miaka kadhaa iliyopita mama akaamua kuondoka nyumba sababu yake kubwa anasema ni kunyanyasika na baba akao doka na kuwaacha wadogo zangu watatu
Na hivi karibuni wamefikishana mahakamani mama akidai talaka na mzee nae anadai FIDIA ya kunisomesha na mimi sitaki kuingilia ugomvi wao juzi juzi tu hapo mzee aliniomba mkoa ili tumzuie mama kuhusu hiyo talaka.
Naombeni ushauri juu ya hili kudai fidia maana Toka nilivoondoka nyumba kwenda chuo sijarudi tena tangu 2018 na Sasa nipo mtaani napambana.
Hapa nimepata somo usikubali kuoa single mother mtoto/watoto wa mkeo hawawezi kukumbuka daima, na wakikua huyo mke na watoto wake wataibua vita dhidi yako.Huyu kijana na mama yake ndio uthibitisho