Baba mlezi ananidai fidia kwa kunisomesha

Anadai Hadi chuo
Sasa si ndio na wewe pakujiinulia hapo.

Mtu alikutosa kwa maneno na matendo we unashindwaje kujiepusha nae. Mtamkie achukue time zake asiwaze kma aliwahi kuwa na mtoto wa kambo kama wewe
 
Kwa akili hii ndio maana sikutaka kuendelea kupoteza hela zangu ili usome chuo,

Nilishaona mwisho wako ilikua ni hiyo form six tu,

Kunitangaza humu hakuwezi kuubadili msimamo wangu.
 
Mimi hapo sijaona changamoto ni hiba huru tu za wanandoa ila wewe ndo kachumbali yao. Fanya mishe zako achana nao wote wanajuana.
 
Mnaooa single mother, mkumbuke akiwa na mtoto wa kiume kataa, kimbia au ujiandae na vita mbeleni.
Maana katakuja kuwa kikwazo kwenye maisha yako baadaeb, ukimsoma na kuchambua kwa makini utagundua huyu kijana yupo upande mmoja na mama yake.
na wewe wacha utabiri mbaya, lete uthibitisho wa hayo unayoyasema. Sasa ulitaka mtoto akae upande gani ikiwa baba mwenyewe anaonyesha chuki?
 
Mlipe mmalizane, Bodi ya mkopo lazima ulipe Usikasirike Mlipe ila mwambie utamlipa utakapo pata lakini nasisitiza Mlipe hata ukipata 500 ukiona inafaa kumpa We MPE.

Mwanadamu anaetaka malipo ya kitu alichokufanyia kama kinalipika we mpe kisha baki zako kwa amani.
 
Mnaooa single mother, mkumbuke akiwa na mtoto wa kiume kataa, kimbia au ujiandae na vita mbeleni.
Maana katakuja kuwa kikwazo kwenye maisha yako baadaeb, ukimsoma na kuchambua kwa makini utagundua huyu kijana yupo upande mmoja na mama yake.
Sio kweli mkuu mimi sina upande wowote ila sijataka kuingilia ugomvi wao ila kilicho nishtua ni kwamba aliposema alipwe fidia Kwa kunisomesha tena mahakamani.
 
huna sababu youote ya kulipa fidia,na mwambie waziwazi kuwa hutamlipa fidia na hana popote pa kukupeleka,ama kuhusu ugombi wake na mkewe,ambae ni mama yako,waachie wao
 
Huyu kijana na mama yake ndio uthibitisho
Hapa nimepata somo usikubali kuoa single mother mtoto/watoto wa mkeo hawawezi kukumbuka daima, na wakikua huyo mke na watoto wake wataibua vita dhidi yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…