Baba Mtakatifu hajabariki ndoa za jinsia moja!

Baba Mtakatifu hajabariki ndoa za jinsia moja!

Hatari master
Muamini Mungu wa mouyoni mwako, achana na viongozi , kuanzia sijui wa walokole, wa urum, uluther/wajerumani, uyahudi hamna kitu, siku za mwisho kila mtu asimame na Mungu na si kusimama na dni.
Toka jana sijalala naangalia wakatoliki wanavyohangaika na kutoa tafsiri ya Papa. kwamba anabariki ndoa za wanaume wanaofir***, wnazunguka mpaka wanajisahau wanacho ongelea ila Papa kishaweka wazi, kama hutaki nenda kaanzishe kanisa lako.
 
Hata Kilaini amehojiwa DW Mchana huu amesema Papa ameagiza ndoa hizo za mashoga zibarikiwe lakini kilaini anasema si kufungishwa;
Sasa mtangazaji akamuuliza kufungisha na kubariki kuna tofauti gani? Jibu lake .........! Eeh Mungu tusamehe sisi waja wako Mwisho wa dunia umefika.
Weka haya mahojiano tuone, naona kama chumvi imezidi.
 
1703205051008.png
 
Meku huyo papa lazima nae shoga toka ameteuliwa ni vituko tu ...mbona wenzake walikua hawako hivyo,hili kanisa litanishinda ntabaki n mungu wangu
Sasa unachelewa nn? Muda ndo huu baki na Mungu wako.
Kanisa waachie wengine. Mxxxxxiiiiieeeeew
 
Back
Top Bottom