Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatari master
Weka haya mahojiano tuone, naona kama chumvi imezidi.Hata Kilaini amehojiwa DW Mchana huu amesema Papa ameagiza ndoa hizo za mashoga zibarikiwe lakini kilaini anasema si kufungishwa;
Sasa mtangazaji akamuuliza kufungisha na kubariki kuna tofauti gani? Jibu lake .........! Eeh Mungu tusamehe sisi waja wako Mwisho wa dunia umefika.
Ingia DW jana mchana.Weka haya mahojiano tuone, naona kama chumvi imezidi.
Sasa unachelewa nn? Muda ndo huu baki na Mungu wako.Meku huyo papa lazima nae shoga toka ameteuliwa ni vituko tu ...mbona wenzake walikua hawako hivyo,hili kanisa litanishinda ntabaki n mungu wangu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanahangaika sana kupotosha kauli za papa lakini kanisa litasimama daima
Amelaani eeh, mpaka Maskofi wa Afrika wakaungana naye kulaani eeh!shida mada hizi wengi wanakurupukia kichwa cha habari
Tueleweshe wewe uliye elewa.shida mada hizi wengi wanakurupukia kichwa cha habari
Hebu tusaidie kauli yake ilikuwaje ili niwaelimishe wenzangu hapa ofisini, tafadhali.Wanahangaika sana kupotosha kauli za papa lakini kanisa litasimama daima