Baba, mtoto matatani kwa tuhuma za kuuza dawa za Serikali wilayani Newala

Baba, mtoto matatani kwa tuhuma za kuuza dawa za Serikali wilayani Newala

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Mtego uliowekwa na Mamlaka ya Dawa na Vifaa tiba (TMDA) Kanda ya Kusini umefanikiwa kumnasa Jamaly Sad akiuza dawa za Serikali.

Taarifa ya TMDA inaeleza kwamba Sad amenaswa kwenye mtego huo Januari 31, 2021 wilayani Newala na alikuwa akiuza dawa za Serikali za Mpango wa Uzazi.

Dawa hizo ni Medroxy Progesterone (vichupa 60) na Microgynon pills (vidonge 3360) zote zikiwa na thamani ya Sh. 300,000.

Hivyo kwa sasa Sad na mtoto wake wanatuhumiwa kuuza dawa hizo za Serikali na wamefunguliwa jalada polisi RB No.NL/RB/94/221 na yuko ndani kwa hatua zaidi kisheria.
 
Mtego uliowekwa na Mamlaka ya Dawa na Vifaa tiba (TMDA) Kanda ya Kusini umefanikiwa kumnasa Jamaly Sad akiuza dawa za Serikali.

Taarifa ya TMDA inaeleza kwamba Sad amenaswa kwenye mtego huo Januari 31, 2021 wilayani Newala na alikuwa akiuza dawa za Serikali za Mpango wa Uzazi.

Dawa hizo ni Medroxy Progesterone (vichupa 60) na Microgynon pills (vidonge 3360) zote zikiwa na thamani ya Sh. 300,000.

Hivyo kwa sasa Sad na mtoto wake wanatuhumiwa kuuza dawa hizo za Serikali na wamefunguliwa jalada polisi RB No.NL/RB/94/221 na yuko ndani kwa hatua zaidi kisheria.
Dah tamaa mbaya sana. Rizik zetu zipo tu tusifikie hatua yakufanya kazi za magendo ili kupata zaid
 
Back
Top Bottom