Baba mweupe Mama mweupe watoto weusi kitaalamu inakaaje?

Baba mweupe Mama mweupe watoto weusi kitaalamu inakaaje?

.
 

Attachments

  • Screenshot_20240117_090642_WhatsApp.jpg
    Screenshot_20240117_090642_WhatsApp.jpg
    244.2 KB · Views: 7
inawezekana
nina mapacha wakike wawili mmoja pure black mwengine mweupe
mimi na mwenzangu wote ni pure black same kwa wazazi wetu
siku moja nilikuwa namtania huyu mweupe namwambia wewe unapaka mkorogo wewe akawa anacheka tu maana haelewi hata ilikuwa ni ile kucheza mama na mtoto lakin babu yao alikuwepo pembeni akaniambia unamuona huyo mtoto marehemu mama yangu mzazi alikuwa hivyo hivyo hadi haiba hiyo hiyo
nikaanza sasa kuelewa kwanini anampenda sana kuliko huyu mwingine yaani wana bond kubwa sana they can spend hours together na usielewe mtu mzima anaongea nini na mtoto wa 3yrs

kuja huyu cheusi mangala ni pure baba angu yaani ile kufanana hadi kichwa kilivyokaa na aina ya nywele
Mapacha wanaweza kuwa na baba tofauti😄 au hulijui Hilo mkuu
 
Wanajukwaa mambo.Leo tupeane mawazo kidogo kuhusu hili swala ambalo limekuwa likileta sintofahamu,migogoro na hata kuvunjika kwa ndoa/mahusiano.Hii imeeathiri wengi hata jirani yangu yalimkutaga.

Yaani unakuta Baba mweupe mama mweupe watoto weusi ti.[emoji344][emoji344][emoji344][emoji2740]kama naisikia ngoma ya bushoke vile"Huyu katoka kwa Babuuuuuu''Hebu tupeane uzoefu wajumbe

#Wadau wa genetics na wafukunyuzi wa mambo najua majibu hamkosi.
Kapime DNA mkuu, wanawake hawaeleweki
 
Wanajukwaa mambo.Leo tupeane mawazo kidogo kuhusu hili swala ambalo limekuwa likileta sintofahamu,migogoro na hata kuvunjika kwa ndoa/mahusiano.Hii imeeathiri wengi hata jirani yangu yalimkutaga.

Yaani unakuta Baba mweupe mama mweupe watoto weusi ti.[emoji344][emoji344][emoji344][emoji2740]kama naisikia ngoma ya bushoke vile"Huyu katoka kwa Babuuuuuu''Hebu tupeane uzoefu wajumbe

#Wadau wa genetics na wafukunyuzi wa mambo najua majibu hamkosi.
Hao ni heterozygous white lakini wana Gene za black ndo maana kwenye kizazi chao wamezaa watoto weusi.
NB: rangi nyeupe ilikuwa dominant na rangi nyeusi ilikuwa recessive
 
Wanajukwaa mambo.Leo tupeane mawazo kidogo kuhusu hili swala ambalo limekuwa likileta sintofahamu,migogoro na hata kuvunjika kwa ndoa/mahusiano.Hii imeeathiri wengi hata jirani yangu yalimkutaga.

Yaani unakuta Baba mweupe mama mweupe watoto weusi ti.[emoji344][emoji344][emoji344][emoji2740]kama naisikia ngoma ya bushoke vile"Huyu katoka kwa Babuuuuuu''Hebu tupeane uzoefu wajumbe

#Wadau wa genetics na wafukunyuzi wa mambo najua majibu hamkosi.
Kitanda hakizai haramu mkuu 😂
 
Kuna mtoto nilimuona baba mweupe mama mweupe ye mweusi tii hafanani na baba wala mama.....siku nimemuona bibi yake (bibi mzaa baba) yule mtoto ni photocopy ya yule bibi.
 
Back
Top Bottom