Wanachanganya sana hawa jamaa!!! Huyu mzee nimeshawahi kumuona kipindi tunasoma O-Level... alikuja kumtia discipline mwanae mbele ya kadamnasi!!Kwa hiyo hili jina la Mwegelo ni la baba wa kufikia?
Hayo yote ni umri. Watu wengi wakifikia miaka 70, huwa wanakuwa na matatizo mengi ya kiafya. matatizo ya kiafya katika umri huo high blood pressure, diabetes, cholesterol, arthritis, asthma, GERD, na mengineyo.Ukiwa na magonjwa kama high blood pressure na diabetes ni rahisi kukumbwa na kiharusi. Nafikiri wakati mnaongelea hili mnakumbuka Pius Ng'wandu aliyefarika jana huku kwao Simiyu. Kufa ni sehemu ya safari zetu, cha muhimu kuwapa pole wahusika na siyo muda wa kuwachambua.Leo tena Mc Pilipili kapoteza Mama Mzazi, wacha tuendelee kupata taarifa zaidi.
Ni kweli Mkuu,Hayo yote ni umri. Watu wengi wakifikia miaka 70, huwa wanakuwa na matatizo mengi ya kiafya. matatizo ya kiafya katika umri huo high blood pressure, diabetes, cholesterol, arthritis, asthma, GERD, na mengineyo.Ukiwa na magonjwa kama high blood pressure na diabetes ni rahisi kukumbwa na kiharusi. Nafikiri wakati mnaongelea hili mnakumbuka Pius Ng'wandu aliyefarika jana huku kwao Simiyu. Kufa ni sehemu ya safari zetu, cha muhimu kuwapa pole wahusika na siyo muda wa kuwachambua.
Mimi nina akili zinazonitosha mwenyewe kwa criteria zangu mwenyewe.I dont give a fvck what u think about my brain which belongs to me not you!
Wewe unadhani mtu akifiwa ndio ajabu sana?
Who cares kafiwa nani na nani?
Kafiwe huko,sio ajabu,umefiwa kama wanadamu wengine,na mimi binafsi siwezi kuku-treat any different au special..
Fiwa huko,hata sisi tunafiwa,who cares?
Sijamuita,akafie huko,nimuite nimpeleke wapi na approve nini kwangu?
Nimesema akiongea chochote for whatever reason simsikilizi kwa chochote,nafata nilichofikia conclusion kwenye ubongo wangu mwenyewe!
Who cares wewe kua dissapointed?
Tena I wish uwe dissapointed zaidi na zaidi,tena I wish niwe hata na haki ya kuku-provoke kabisa.
Wewe kua dissapointed na mimi is the music to my ears!
Die motherfvker,go to hell and tell Jesus I said hi,mwambie arudi tumsulubishe tena mara ya ....
Ni kweli, Kikwete tulikuwa naye. Pamoja kuwa tulikuwa daasa moja, lakini he was a few years younger.Mbona humshangai Jakaya Kikwete na alikuwa darasa moja na marehemu!!!
Ni kweli nilikuwa chuo kikuu miaka ya 70, lakini siyo Mlimani.Mbona umekadiria university wakati amesema huo mwaka 1970 walikuwa pamoja tanga school na sio chuo..
Read: in the 70's not in 1970.Sasa walimaliza Tanga na kwenda Uni within 70's.
Ni kweli, Kikwete tulikuwa darasa moja. Kikwete was a few years younger.
Yep huyu jamaa sijaona asichokitolea povu.. Atakuwa na shida kichwani japo hataki kusaidiwaKumbe ni kawaida yake
Kwamba wyatt lina chimbuko Afrika😀😀. Unaanza kutafuta pa kutokea baada ya wenye vichwa kukubana.. Kubali ulichokiita upuuzi na ubishoo kwa Jokate ndo ulichokifanya kwa ID yako.. Jifunze kutoongea sana coz kuna mambo unakurupuka nayo mwisho wa siku utafanya tuwaombe Jf watuwekee ile option ya kuprove kuwa mtumiaji sio robot ukiwa una sign in..Nani amekuambia Wyatt sio ya Kiafrika?
Una forensic audit machine ya kupita hili jina ujue halina Uafrika ndani?
Hizo raha kwani angeenda nazo kaburini?Hujui raha ya wajukuu wewe.
Hasa wakati wa likizo .
RIP Classmate (Tanga School 1970-71).
Duh,mama zetu hawa balaa sanaWanachanganya sana hawa jamaa!!! Huyu mzee nimeshawahi kumuona kipindi tunasoma O-Level... alikuja kumtia discipline mwanae mbele ya kadamnasi!!
Yule mshikaji alikuwa anatumia jina la Magavila, huyu Jokate anatumia Mwegelo... basi taabu tupu!!!
Ni kweli nilikuwa chuo kikuu miaka ya 70, lakini siyo Mlimani.
Sijaona sababu yoyote ile ya Wewe kuanza kutokwa na Mapovu yote haya sana sana naona ni kama vile Uwendawazimu unaanza Kukupigia hodi.Jamani, kwanza mwenzenu kafiwa, sasa haya ya kuhoji sijui baba, sijui matrilineal/ patrilineal, sijui ni baba, sijui eti ni baba wa mkubwa. Tumfariji huyo binti na kumuombea aweze kumaliza matanga na kuendelea na maisha. Sijui ninyi mnaohoji hayo mengi mngekuwa nyie mnahojiwa wakati "your loved one" amefariki mngekuwa mnafikiria vipi. Be sensitive to other peoples problems.
Urban Ndunguru hakutangazwa kwa sababu binti yake ni mkubwa serkalini. Mimi namfamu Ndunguru ni rafiki yangu na classmate (1970-1971). Tulikuwa pamoja Tanga High School. Mliosoma UDSM bila shaka mnawafahamu wake na Prof Nditi, Prof Malekela, na wengineo wote tulikuwa Tanga High School miaka hiyo. Marehemu ni retired Senior Civil Servant (Foreign Service) na ametumikia taifa nyumbani na nje ya nchi. Kama humfahamu, wewe nyamaza tu kuliko kusema yale ambayo hayapo. Tuipe pole familia na tuache kuleta utani katika maswala ya kufiwa. It is not easy and this is not the time to go around scoring anything. All it shows is what kind of a person you are. Very thick skinned not worth to be called a gentle man or a lady.
KatolikiKanisa la St Peters. Hili ni kanisa Katoliki, Anglican au Lutheran.
Taarifa haijawa clear enough.
Rest in peace mungoni
Sijaona sababu yoyote ile ya Wewe kuanza kutokwa na Mapovu yote haya sana sana naona ni kama vile Uwendawazimu unaanza Kukupigia hodi.