TANZIA Baba Mzazi wa Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Jokate Mwegelo Mzee Urban Costa Ndunguru amefariki Dunia

TANZIA Baba Mzazi wa Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Jokate Mwegelo Mzee Urban Costa Ndunguru amefariki Dunia

Wacha wee?

How the fvck do you know?

Au kwavile nimeuliza swali gumu watu wanaloogopa kuuliza sababu Jokate Kafiwa na Baba?

Who cares nani kafiwa na nani?

As if kufiwa kunakupa pass yakua untouchable?

Afweee
Ha ha ha daaah[emoji23]
 
Kuna majuha yanabishana kuhusu majina, upumbavu ulokithiri. Kukariri maisha na kukosa exposure ni shida. Rais Museveni ana watoto watatu, lakini hakuna hata mmoja anayetumia jina la Yoweri au Museveni. Wa kwanza ni maarufu anaitwa Muhoozi Kaienerugaba. Jina ni kitu mtu anaweza kuamua kujiita lolote. Hata leo unaweza kwenda mahakamani ukaapa uitwe jina tofauti. Pia unaweza kuta jina Mwegelo likawa moja ya majina ya baba ya kati ambayo wao ndo wanayajua. Kwani mnayajua majina yote ya ababa yake? Kuna watu wana majina hata sita ya kati.
 
Hayo yote ni umri. Watu wengi wakifikia miaka 70, huwa wanakuwa na matatizo mengi ya kiafya. matatizo ya kiafya katika umri huo high blood pressure, diabetes, cholesterol, arthritis, asthma, GERD, na mengineyo.Ukiwa na magonjwa kama high blood pressure na diabetes ni rahisi kukumbwa na kiharusi. Nafikiri wakati mnaongelea hili mnakumbuka Pius Ng'wandu aliyefarika jana huku kwao Simiyu. Kufa ni sehemu ya safari zetu, cha muhimu kuwapa pole wahusika na siyo muda wa kuwachambua.
Duh Pius Ng'wandu naye kafariki? Alioa siku kadhaa zilizopita. Apumzike kwa Amani!
 
Duh,mama zetu hawa balaa sana
Sio kama unavyofikiri ndugu. Watoto wako kama sita kwenye familia yao, baba na mama huyo huyo. Ni jinsi walivyoamua kuwapa majina tu.
 
Mkuu

Nilishasema sisikilizi any reason from anywhere!

Mwanadamu hakosi reason yeyote kujitetea

I trust only my brain...na akili yangu inanitosha mimi pekee yangu binafsi

Nimesoma na wanawake majina yao ya ukoo ni NDUNGURU na still last time I checked ni wanawake kama Jokate

Plus,kaka yake hatumii jina NDUNGURU anywhere na last time I checked ni mwanaume!

These kids are confused,ubishoo umewazidi,ndio maana yanafeli kila mahali!

By the way kabila langu mimi Mchagga,its crazy....I talk shit ma nigga....

Too bad I cant change,nisamehe tu!
Mchagga gani mropokaji hivi
 
Mkuu

Nilishasema sisikilizi any reason from anywhere!

Mwanadamu hakosi reason yeyote kujitetea

I trust only my brain...na akili yangu inanitosha mimi pekee yangu binafsi

Nimesoma na wanawake majina yao ya ukoo ni NDUNGURU na still last time I checked ni wanawake kama Jokate

Plus,kaka yake hatumii jina NDUNGURU anywhere na last time I checked ni mwanaume!

These kids are confused,ubishoo umewazidi,ndio maana yanafeli kila mahali!

By the way kabila langu mimi Mchagga,its crazy....I talk shit ma nigga....

Too bad I cant change,nisamehe tu!
Wewe siyo Mchagga, labda uwe ulificha utambulisho wako halisia ulipokuwa unajiandikisha JamiiForums. Kumbuka kuwa hata kama JamiiForums ilikuwaahidi confidentality, but there is no guarantee of it. Details zako zinafikiwa easily and anytime. Tulipoenda huko tulikuta wewe si Mchagga, ukibisha toa ruksa tutoe jina lako hadharani.
 
Back
Top Bottom