HIBISCUS 80
JF-Expert Member
- Jun 18, 2020
- 1,058
- 1,218
Utakuwa na stress za maisha weww sio bureCovid-19
Lets call spade a spade
Halafu anaitwa Ndunguru,akina Jokate yalivyo malimbukeni hayatumii jina Ndunguru sababu limekaa kienyeji na ni la mkoa wa kusini asilia
Mabishoo haya matoto,ndio maana ni ma failure
U-DC na sijui motivational speaker and other nonsenses ni ma-failure matupu..
Hayana respect with where they come from,with their origins,ubishoo umeyajaa haya matoto
Yameniudhi sana haya matoto,hovyo kabisa!
Rip mzee wetuBaba Mzazi wa Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Jokate Mwegelo @jokatemwegelo , Mzee Urban Costa Ndunguru amefariki Dunia Alfajiri ya leo katika Hospitali ya Taifa Muhimbili alipokuwa amelazwa (ICU) kwa muda sasa baada ya kupata kiharusi (stroke).
DC Jokate ametuthibitishia taarifa hizo na kusema taratibu za mazishi bado zinaendelea nyumbani kwa Marehemu.
Update
Mwili wa Baba Mzazi wa DC wa Kisarawe Jokate Mwegelo Mzee Urban Costa Ndunguru unatarajiwa kuagwa Jumatatu December 21,2020 katika Kanisa la St Peters DSM, kisha kusafirishwa Jumatatu hiyohiyo kwenda Mbinga Mkoani Ruvuma.
Mazishi yanatarajiwa kufanyika Jumanne December 22, 2020, katika kijiji cha Tanga, Mbinga. Mzee Ndunguru amefariki Alfajiri leo Hospitali ya Muhimbili alipokuwa amelazwa (ICU) kwa muda baada ya kupata Kiharusi (Stroke)
#RIPMzeeNdunguru
Chanzo Cha habari-Millardayo
Why so much hate?Covid-19
Lets call spade a spade
Halafu anaitwa Ndunguru,akina Jokate yalivyo malimbukeni hayatumii jina Ndunguru sababu limekaa kienyeji na ni la mkoa wa kusini asilia
Mabishoo haya matoto,ndio maana ni ma failure
U-DC na sijui motivational speaker and other nonsenses ni ma-failure matupu..
Hayana respect with where they come from,with their origins,ubishoo umeyajaa haya matoto
Yameniudhi sana haya matoto,hovyo kabisa!
Sikujua hili aiseeMmatengo wa mbinga.
Jamani ivi hamjui kuna multineal societies hapa Tanzania ama ile civics ya fomu wani Ilikuwa ni kumeza kujibia mtihaniKwa hiyo hili jina la Mwegelo ni la baba wa kufikia?
Sawa wewe mmatengo ambaye unaona kuzaa siyo kitu cha maana sababu wewe hukuzaliwa.Waswahili mna shida sana.
Cha maana hapo ulichoona ni kuzaa tu?
FUTA PHASE II.Wimbi la vifo vya ghafla limerudi tena
Yaap Enzi hizoooo watu wakiwa na Furaha. Leo nimeshangaa anaitwa "Mzee". Yaani alikuwa Baba pisi Kali na mtanashati. Akishuka ndani ya Benz Gari zilizokuwa na heshima 1990+ .Unamfahamu huyu mzee?[emoji849]
Pengine wazazi walikuja kutengana (sina uhakika) au ni migogoro tu ya kifamilia ndio imempa mtazamo hasi, ila sio mambo ya single mother. Baada ya habari hii nimemuona na mama yake na nimevuta kumbukumbu ya hii familia mitaa ya Ada estate na kanisa la St Peter's.Kuna kipindi nilisoma article ya Jokate katika gazeti akielezea maisha yake. Moja ya jambo jokate aligusia ni swala la kulelewa na mama yake zaidi na kuwa hakuwa katika mahusiano sababu aliona experience ya mama yake na baba yake jambo ambalo hakuwa tayari kufunguka.
So from then nikajua tu hii ni kesi ya single mother kumjaza binti sumu. Sasa tangu lini mtoto atumie jina la mama yake na baba yupo?!
Mimi nijuavyo ni kuwa mama hata kama una ugomvi na mwenzako haimaanishi mtoto ataacha kuwa damu moja na baba yake, kumkana baba wa mtoto na kumjaza mtoto sumu kumhusu baba yake huwa haileti matokeo mazuri.
Mama toxic ni mbaya mara mbili ya baba asiyewajibika kwa mtoto wake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee kaenda hajaona mjukuu toka kwa Jokate.
Brother
Wewe unatoa toa tabasamu na meno nje,mimi unfortunately I do none of that shit.
Im sorry aisee
Mnaobishana wote jibu ni hili hapa juu wewe ni mtafiti hasa tuulizeni wenyeweKoo za kingoni huwa zinatajwa tofauti kati ya mwanaume na mwanamke.Ndunguru inatumika kwa mwanaume mwanamke mwegelo ,komba wanawake wanaitwa hanji au nakomba,ntanga wanawake in chigalu nk
Ndo ivo shangazi angu kaolewa kweny huo ukoo wa kina jokate, kijij chao kinaitwa litanga.Sikujua hili aisee
Huyu mjomba hua ana hasira muda wote na kwa kila kitu.. Itakuwa katika makuzi yake hakuwa anapewa nafasi ya kujieleza na kuonyesha anaweza niniTatizo ni kwamba umeanza tu kuhukumu hata kabla ya kufatilia kujua ni kwa nini anatumia jina hilo.
Au una ugomvi naye nini? Maana ulivyomshambulia kama nyuki.
Usijisahaulishe kuwa, hata majina ya kwenye cheti cha kuzaliwa nayo pia ni ID vile vile. Lengo la jina ni ili kurahisisha utambuzi (identification).
Na kisheria mtu anaweza kubadilisha jina lake na kutambuliwa (identified) rasmi kwa jina lake jipya.
Sasa shida ni nini? Yaani jina tu umshambulie mtu kupita kiasi, Je angeua Twiga je? Si ndo ungemlipua kwa grenade na C4 kabisaaaaa.
#Logic #Reasoning
Mwegelo ni Ndunguru. Kusini makabila yanatumia majina haya kwa wanawake mfano Komba ni Nakomba.Brother
No ID hapa ni jina halisi la mtu....
Naweza jiita MAVI kama ID,sio jina langu,ni internet fake name mzee
Hoja yako ya ID ni hovyo maana tuna deal majina ya uongo humu
Mimi ni traditionalist,Jokate kutokutumia jina la NDUNGURU ni kosa kwangu mimi
Unakwepaje kwenu?Ili tu usionekane ni mtu wa kusini ambapo ni kwenu na ndio asili ya uzao wako na mababu zako?
Siwezi samehe mamaeeee zenu
Duh leo ndo najuaNdo ivo shangazi angu kaolewa kweny huo ukoo wa kina jokate, kijij chao kinaitwa litanga.
Bas ndo ivo dea.Duh leo ndo najua
Nampa joketi Pole kwa kufiwaBas ndo ivo dea.
Kabisaaah pole zake kubwa.Nampa joketi Pole kwa kufiwa