Ugumu wangu
JF-Expert Member
- May 6, 2021
- 1,685
- 3,552
- Thread starter
-
- #21
Ahsante pia ukiona usiku ukajua wote wamelala kumbe wengine ni mchanapale unapojitekenya na kucheka mwenyewe
Nimeshtuka pia.Mkuu jistukie hemu wacha tumia misamiati laini zidi ya mwanaume mwenzio
☹️☹️☹️😭😭😭 Lini mkuu na unaweza kuniwekea huo uzi hapa ?Huyu baba swalehe Kama sikosei aliwahi kuweka bango la kukata tamaa na maisha huenda ametekeleza uamuzi wake...
Mkuu jistukie hemu wacha tumia misamiati laini zidi ya mwanaume mwenzio
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kumbe ni mtaalamu wa Hilo dude pia!
Naijua mkuu ila si unajua watu Wana ujuzi mwingi huenda pia upo mwingine nisioufahamuPale unapodai ni rafiki yako na hujui shughuli zake!
Kumbe ni chura majiWapi kasema ni mwanamme! Mtake radhi.
Tafadhali mkuuKumbe ni chura maji
Huyu ni rafiki yangu moenzi, lakini kimya chake kikuu chanitisha, tumuombe Mungu huko aliko Baba Swalehe a.k.a Tesla awe swalama bin swalimini. Nampenda sana huyu mkushiBujibuji njoo huku mzee wangu niambie huyu Baba Swalehe wapi alipo!!
Daah sawa mzee wangu nami namuombea alipo huko,Huyu ni rafiki yangu moenzi, lakini kimya chake kikuu chanitisha, tumuombe Mungu huko aliko Baba Swalehe a.k.a Tesla awe swalama bin swalimini. Nampenda sana huyu mkushi
Kwani pale nanihii geti je.....usi miti mingi hayupo!! Mbayuwayu huyu ??Huyu ni rafiki yangu moenzi, lakini kimya chake kikuu chanitisha, tumuombe Mungu huko aliko Baba Swalehe a.k.a Tesla awe swalama bin swalimini. Nampenda sana huyu mkushi
Ngoja niutafutee![emoji3525][emoji3525][emoji3525][emoji24][emoji24][emoji24] Lini mkuu na unaweza kuniwekea huo uzi hapa ?
[emoji23][emoji23]Pale unapodai ni rafiki yako na hujui shughuli zake!
Nitashukuru mkuuNgoja niutafutee!
Ncha chizi wewe ujue🤣🤣Wapi kasema ni mwanamme! Mtake radhi.
Jana kuna uzi aliweka like..yupoHuyu ni rafiki yangu moenzi, lakini kimya chake kikuu chanitisha, tumuombe Mungu huko aliko Baba Swalehe a.k.a Tesla awe swalama bin swalimini. Nampenda sana huyu mkushi
Karibu kijiweni mkuu kumekucha AfricaNcha chizi wewe ujue🤣🤣
Kumbe Yupo daah afadhaliJana kuna uzi aliweka like..yupo