Baba Swalehe uko wapi Mkuu?

Huyu baba swalehe Kama sikosei aliwahi kuweka bango la kukata tamaa na maisha huenda ametekeleza uamuzi wake...
 
Huyu baba swalehe Kama sikosei aliwahi kuweka bango la kukata tamaa na maisha huenda ametekeleza uamuzi wake...
☹️☹️☹️😭😭😭 Lini mkuu na unaweza kuniwekea huo uzi hapa ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…