Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,178
- 39,641
Nipo mkuuHuyu ni rafiki yangu moenzi, lakini kimya chake kikuu chanitisha, tumuombe Mungu huko aliko Baba Swalehe a.k.a Tesla awe swalama bin swalimini. Nampenda sana huyu mkushi
hizi yule kiranga anaziita contradictionKujiunga = May 6, 2021
Baba Swalehe = Rafiki yangu wa siku nyingi.
Karibu UgindoniNipo mkuu
Shule na kazi zimenipoteza
TehKaribu Ugindoni
Nikajua upo busy kuwakatia pindi la Physics Pre form 5.Heee 😂
Mimi ni daktari mkuuNikajua upo busy kuwakatia pindi la Physics Pre form 5.
Mwalimu anameza Chand na Nelkon ili akatambe darasani.
Jela, Wodini, Mochwari au Makaburini.Jamani wana JF namtafuta huyu rafiki yangu wa siku nyingi sana humu Nyumba ya furaha, lakini simsikii kabisa baba Swalehe uko wapi nakutafuta mkuu?
Mkuu nakuheshimu sana ila kauli ulioitumia hapa sio nzuri hata kidogo please kuwa makini mzee wangu sio wote ni watoto humu ndugu yangudunia kweli inaenda ukingoni,,
unamtafuta dume mwenzio huku unabana pua!!
Huko hayupo mkuu nimemwona yupo haiJela, Wodini, Mochwari au Makaburini.
Hahaha daktari sawa tuMimi ni daktari mkuu
Tafadhali Sana
Ilikuwa jokes tu mzee wa Tesla.Mimi ni daktari mkuu
Tafadhali Sana
Shida ni uelewa na akili yako inawaza niniUnammisi vipi mwanaume mwenzio? [emoji15]
Sawa mkuuIlikuwa jokes tu mzee wa Tesla.
Bila shaka umempatia muongozoHabari yako mkuu
Nipo mkuu
Gorefo warea karibuBila shaka umempatia muongozo
Mwanangu umepoteaBila shaka umempatia muongozo
Unatuhuma za utapeli mkuuGorefo warea karibu