Baba wa Mke aliyeuawa na kuchomwa moto aridhika na Hukumu

Baba wa Mke aliyeuawa na kuchomwa moto aridhika na Hukumu

Tafiti lukuki zimeshaonyesha kwamba hukumu ya kifo haisaidii cho chote (is not a deterrent) katika kupunguza matukio ya mauaji ya kikatili. Ndiyo maana nchi nyingi zimeshaifuta au zinapambana kuifuta.

Matukio mengi ya kikatili hufanywa na watu ambao wana changamoto za afya ya akili; na tabia hizi huanza polepole. Mtu hakurupuki tu siku moja na kufanya matukio haya bali kunakuwa na pattern of behavior ambazo waathirika huziona na kuzipuuzia. Nchi nyingi wanawekeza katika kuimarisha huduma za afya ya akili kama mkakati mmojawapo wa kupambana na matukio haya ya kutisha.
Kwa mtazamo wangu huo ni utafiti wa wazungu bana, kwa mfano ukija huku ukuryani wanavouana mara kwa mara, wanawake hawathaminiwi yaan mwanamke kukatwa kiungo kimojawapo cha mwili ni kawaida kabisa na wanaishi ni kwamba wooote wana matatizo ya akili?
 
Kwa mtazamo wangu huo ni utafiti wa wazungu bana, kwa mfano ukija huku ukuryani wanavouana mara kwa mara, wanawake hawathaminiwi yaan mwanamke kukatwa kiungo kimojawapo cha mwili ni kawaida kabisa na wanaishi ni kwamba wooote wana matatizo ya akili?
Oooh basi sawa!

Kwa nini unafikiri Wakurya wako hivyo na si Wajita au Wakara?

Kwenye tafiti ukikuta kitu kimoja kinachomoza sana na kinakinzana moja kwa moja na nadharia tete (hypothesis) yako unajaribu kukitafutia sababu zingine maana kinaweza kuwa ni kighairi (an exception) ambacho kinaweza kuelezwa na sababu zingine za kimazingira na hata mikatale mf. ya koo, mila na desturi za jamii/kabila husika.

Obviously ukatili wa Wakurya una maelezo mengine (ya kimila, kijamii na hata kiuchumi) lakini hiyo haiondoi ukweli kwamba watu wengi wanaofanya matukio haya kwingineko wana changamoto ya afya ya akili.

Nimeshangaa kidogo kwamba umeshindwa kuliona hili na kuishia kuuliza kwamba ina maana Wakurya wote wana matatizo ya kiakili? Hili swali halikupaswa kuulizwa katika muktadha huu! 🚶🏿‍♂️🚶🏿‍♂️🚶🏿‍♂️
 
mwamba alikua na mfumo dume kama wangu mimi wife hatoki ndani ni kupika na kuzaa tu

jamaa inasemekana alimkataza wife kua anatoka nyumbani wife akashupaza shingo. hamis akanyooka nae front ikawa ndo safar na mwisho wa story
Unajiona mwamba.kwaiyo mkeo ni mfungwa wako sio?
 
Back
Top Bottom