Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Introduction ya kibabe sana...Hahah!Ilikuwa mwaka 2011 kipindi nafanya kazi hoteli Moja pale Zanzibar Mimi na rafiki yangu aliye itwa rajabu pale hotelini mademu wa kizungu kutoka ulaya ni wengi sana sasa ndugu yangu rajabu si akampenda Binti wa kiholanzi ,Netherlands baadae wakaondoka wote kwenda uholanzi roja akazani ame yapatia maisha kilichomkuta rafiki yangu roja aka rajabu aliishia kufanya kazi za ndani kule uholanzi na kulea watoto wa mwanamke aliishia kuwa baba wa nyumbani akitoka kidogo aliishia kupigwa vibao na maneno ya kejeli kutoka kwa familia ya Binti wa kiholanzi siku Moja hadi rajabu alitaka kurudi kwao nzanzibar akaishia kutishwa na familia ya Binti
Itaendelea
Ushawahi kufika ? Au na wewe Tunga yako ndugu masikini kutoka kusini mwa jangwa la saharaLiongo linatunga, Ulaya hawana mambo ya kiswahili kuishi kama familia
Wewe liongo full stop ✋ 🛑Ushawahi kufika ? Au na wewe Tunga yako ndugu masikini kutoka kusini mwa jangwa la sahara
Kwa Nini jamani 😂😁Wewe liongo full stop ✋ 🛑
Ungesma Sheri Tu ningeamini Ila umeanza na kutaja majina kabisa.SEHEMU YA PILI.
Roja aliendelea kutishiwa na kuishi maisha ya kuogopa ndani ya ile nyumba alijuta kwa nini alikuja ulaya na yule mkewe alimwambia Mimi ndio nilie kuleta hivyo ili urudi kwenu Mimi ndio mwenye maamuzi kwa sasa hauwezi kurudi kwenu Zanzibar sahau kuhusu hilo sasa si unajuaa sisi wa Swahili ni wabishi sana roja alikuwa mpole ila moyoni ana lake jambo akawa mpole akaendelea kuwa baba wa nyumbani huku siku zikienda akajikuta akawa mwenyeji pale alipo kuwa anakaaa mujini Amsterdam palikuwa na sheli inaitwa Esso Amsterdam Sarphatistraat alikuwa akienda anashinda pale nusu saa halafu anarudi nyumbani kuwa baba wa nyumbani pale maeneo ya sheli kulikuwa na waafrika wenzie wa Ghana ,Nigeria alikuwa anapenda kupiga nao story pale sheli Hawa walikuwa wanafanya kazi pale sheli sasa roja Kuna siku alienda akazidisha masaa 2 pale sheli ile anarudi nyumbani akawakuta familia nzima ipo sebuleni wote wakimuangalia vibaya sana mkewe akampiga kibao roja akamwambia wewe inatakiwa usitoke nyumbani unatakiwa ukae nyumbani ukilea watoto wangu sasa roja nae si akawaka akaona hizi dharau yaani mie nilee watoto wa watu sio kweli akarudisha kibao ugomvi ukawa mkubwa pale sebuleni
Itaendelea
sijakuelewa mkuuUngesma Sheri Tu ningeamini Ila umeanza na kutaja majina kabisa.
Inaanza kua chai hii
Story za vijiweni hizo kuongopeana..huyo mtunzi hajui kama humu kuna watu wengi wapo mamtoni?? Kupiga western country ni kosa kubwa sana iwe mwanamke mtoto au mwanaume,hata mwalimu wa shule hathubutu kumpiga mtoto Europe, sio kama bongo kutwa watu kutukanana mitaani ...Itakuwa Roja kaenda Uarabuni au Sudan.Cha muhimu kafika majuu 🤣🤣
Una uhakika kakaStory za vijiweni hizo kuongopeana..huyo mtunzi hajui kama humu kuna watu wengi wapo mamtoni?? Kupiga western country ni kosa kubwa sana iwe mwanamke mtoto au mwanaume,hata mwalimu wa shule hathubutu kumpiga mtoto Europe, sio kama bongo kutwa watu kutukanana mitaani ...Itakuwa Roja kaenda Uarabuni au Sudan.
🤣🤣🤣🤣Si mlikuwa mnasema rangi nyeupe zina mapenzi ya dhati..!!!!!!!
Kulikoni tena 🤒
Yap ninao bruda.Una uhakika kaka
Kaka roja alipitia majanga sana hapaSasa Vincenzo Jr kule watoto wako hautaki wawe maafande Kaka ,
Huku Rajabu anakutwa na magumu Amsterdam
Pole naye ,natamani mwisho useme alifika salama zanzibarKaka roja alipitia majanga sana hapa
Kesho sehemu ya tatu itaendelea kaka
Naunga mkono hojaKama anapew utulez na maish yanaendelea yeye aendelee kuosha vyombo tuu na kuwalea wazee