Baba wa nyumbani!

Baba wa nyumbani!

Ilikuwa mwaka 2011 kipindi nafanya kazi hoteli Moja pale Zanzibar Mimi na rafiki yangu aliye itwa rajabu pale hotelini mademu wa kizungu kutoka ulaya ni wengi sana sasa ndugu yangu rajabu si akampenda Binti wa kiholanzi ,Netherlands baadae wakaondoka wote kwenda uholanzi roja akazani ame yapatia maisha kilichomkuta rafiki yangu roja aka rajabu aliishia kufanya kazi za ndani kule uholanzi na kulea watoto wa mwanamke aliishia kuwa baba wa nyumbani akitoka kidogo aliishia kupigwa vibao na maneno ya kejeli kutoka kwa familia ya Binti wa kiholanzi siku Moja hadi rajabu alitaka kurudi kwao nzanzibar akaishia kutishwa na familia ya Binti

Itaendelea
Introduction ya kibabe sana...Hahah!
 
SEHEMU YA PILI.
Roja aliendelea kutishiwa na kuishi maisha ya kuogopa ndani ya ile nyumba alijuta kwa nini alikuja ulaya na yule mkewe alimwambia Mimi ndio nilie kuleta hivyo ili urudi kwenu Mimi ndio mwenye maamuzi kwa sasa hauwezi kurudi kwenu Zanzibar sahau kuhusu hilo sasa si unajuaa sisi wa Swahili ni wabishi sana roja alikuwa mpole ila moyoni ana lake jambo akawa mpole akaendelea kuwa baba wa nyumbani huku siku zikienda akajikuta akawa mwenyeji pale alipo kuwa anakaaa mujini Amsterdam palikuwa na sheli inaitwa Esso Amsterdam Sarphatistraat alikuwa akienda anashinda pale nusu saa halafu anarudi nyumbani kuwa baba wa nyumbani pale maeneo ya sheli kulikuwa na waafrika wenzie wa Ghana ,Nigeria alikuwa anapenda kupiga nao story pale sheli Hawa walikuwa wanafanya kazi pale sheli sasa roja Kuna siku alienda akazidisha masaa 2 pale sheli ile anarudi nyumbani akawakuta familia nzima ipo sebuleni wote wakimuangalia vibaya sana mkewe akampiga kibao roja akamwambia wewe inatakiwa usitoke nyumbani unatakiwa ukae nyumbani ukilea watoto wangu sasa roja nae si akawaka akaona hizi dharau yaani mie nilee watoto wa watu sio kweli akarudisha kibao ugomvi ukawa mkubwa pale sebuleni

Itaendelea
Ungesma Sheri Tu ningeamini Ila umeanza na kutaja majina kabisa.
Inaanza kua chai hii
 
Cha muhimu kafika majuu 🤣🤣
Story za vijiweni hizo kuongopeana..huyo mtunzi hajui kama humu kuna watu wengi wapo mamtoni?? Kupiga western country ni kosa kubwa sana iwe mwanamke mtoto au mwanaume,hata mwalimu wa shule hathubutu kumpiga mtoto Europe, sio kama bongo kutwa watu kutukanana mitaani ...Itakuwa Roja kaenda Uarabuni au Sudan.
 
Story za vijiweni hizo kuongopeana..huyo mtunzi hajui kama humu kuna watu wengi wapo mamtoni?? Kupiga western country ni kosa kubwa sana iwe mwanamke mtoto au mwanaume,hata mwalimu wa shule hathubutu kumpiga mtoto Europe, sio kama bongo kutwa watu kutukanana mitaani ...Itakuwa Roja kaenda Uarabuni au Sudan.
Una uhakika kaka
 
SEHEMU YA TATU.
Baada ya kugombana pale sebuleni roja aliishia kulia na kuondola pale sebuleni huku akiambulia maneno ya dharau kutoka kwa familia ya mwanamke roja aliishia kuitwa nyani na familia ya mwanamke usiku ule roja aliondoka na kwenda kushinda pale sheli kwa rafiki zake pale nyumbani hakupatamani Tena aliishia kulala sheli tu na wenzie na akawaambia kilicho msibu na kilichomkuta Toka amekuja Uholanzi Ni balaa alizani akija ulaya mambo yatakuwa mazuri kumbe ni majanga na kuishia kuwa baba wa nyumbani yalipita masaa 20 roja akapigiwa simu za vitisho na yule demu wake mzungu kuwa arudi home asiporudi atamshitaki kwa afisa uhamiaji kuwa anaishi bila vibali hapa uholanzi na ukizingatia Kila vibali vyake alikuwa anamiliki yule demu wake je roja ata toboa kwenye hili tukutane sehemu ya nne itaendelea
 
Kama anapew utulez na maish yanaendelea yeye aendelee kuosha vyombo tuu na kuwalea wazee
 
Back
Top Bottom