Baba wa Taifa na Mizengwe - Makala ya Askofu Bagonza

Baba wa Taifa na Mizengwe - Makala ya Askofu Bagonza

Why should I relax when my country is being destroyed by few hooligans?

Don’t tell me to use lugha nzuri when my fellow innocent country men and women are being mistreated in their own country and sometimes murder.

I will continue to use the language of my choice and THERE IS NOTHING YOU CAN DO ABOUT IT.

You are NOBODY on this forum so stop your STUPIDITY TO PRETEND THAT YOU ARE SOMEBODY THEREFORE TO FORMULATE YOUR STUPIDITY on the type of language to use.

sasa kama truth will always set you free, why dont you relax and let the truth work on itself? unapata faida gan unapotamka maneno ya rubbish kama ivi? kama una mada si uongee hoja yako kwa lugha nzuri, umepewa platform ongea kwa lugha nzuri, tutasoma thread yako na tutatoa maoni yetu pia, maswala ya kuitana stupid wakati wengine hata sio wafuasi wa siasa utasababisha personal conflicts, dont blame anyone for anything to happen!!
 
Tena aibu kubwa sana Mkuu. Taifa lililokuwa LINAHESHIMIKA duniani kote sasa tunadharaulika sana hata na majirani. Tunawekwa kapu moja na Burundi, Zaire n.k.
Na hii ni miaka mitano tu!

Heshima gani tulikuwa nayo?
Kusaidia wengine kupata uhuru au ni ipi unaijua?
Tutajie hata tano.
 
Amenena Baba Askofu Dr Benson Bagonza ambaye ni mkuu wa Dayosisi ya KKKT Karagwe.

Kama una maswali, manung'uniko, mapovu, maoni, shukurani, nk - elekeza kwake Baba Askofu mwenyewe atakuhudumia kwa kadri ya mahitaji yako.

Shukurani nyingi sana kwako Baba Askofu Bagonza kwa mafundisho yako yenye upako wa kuponya roho na nafsi.


View attachment 1477530

Nilishasema huyu mzee anajiendea tu, hajui nini ana maanisha. Kama anazo data atuwekee hapa kuliko kuongea vitu vya kufikilika.

Wakati wa Nyerere wati nchi nzima walikuwa chini ya milioni kumi na tano, chuo kilikuwa kiomja je walisoma watu wangapi kipindi hicho?
Atupe namba za wasomi kaipindi hicho.
Kwa sasa watu ni zaidi ya milioni hamsini
Je wasomi wapo wangapi?
Kisha tugawe kwa hizo namba tuone kipindi kipi ni sahihi

Waafrika tumekuwa wasemaji na ujanja mwingi bila data, unakuta mtu anakurupuka tu na mambo yake bila kuwa na data kisha anataka aaminiwe hii ni hatali sana kwa mustakabali wa nchi yetu.
Et hawa ndo wachungaji wanaotaka waheshimiwe, atoe data kisha tuchukuwe ushauri sio porojo tu.
 
Kweli kabisa aisee. Ni aibu sana umenikumbusha rafiki yangu mmoja mbongo. Siku moja akaniambia akisikia jina la Tanzania anakasirika na kukosa amani moyoni kwa jinsi anavyochukia uovu unaozidi kushamiri Nchini.

Ungemshauli anywe sumu au aende malekani abanwe shingo
 
Kama nimeona neno JALALANI sehemu, lkn kila nikisoma upya silioni tena...Baba Askofu, jalalani eeh?
 
Enzi hizo Mwalimu alianza na mtaji wa watu 10.35 milion ,sasa tuko mara sita ya hiyo population

Umefikiri chini ya kiwango sana ,hao walio ongezeka hawalipi Kodi Mkuu ?
 
Nilishasema huyu mzee anajiendea tu, hajui nini ana maanisha. Kama anazo data atuwekee hapa kuliko kuongea vitu vya kufikilika.

Wakati wa Nyerere wati nchi nzima walikuwa chini ya milioni kumi na tano, chuo kilikuwa kiomja je walisoma watu wangapi kipindi hicho?
Atupe namba za wasomi kaipindi hicho.
Kwa sasa watu ni zaidi ya milioni hamsini
Je wasomi wapo wangapi?
Kisha tugawe kwa hizo namba tuone kipindi kipi ni sahihi

Waafrika tumekuwa wasemaji na ujanja mwingi bila data, unakuta mtu anakurupuka tu na mambo yake bila kuwa na data kisha anataka aaminiwe hii ni hatali sana kwa mustakabali wa nchi yetu.
Et hawa ndo wachungaji wanaotaka waheshimiwe, atoe data kisha tuchukuwe ushauri sio porojo tu.
Mwambie Mjinga wenu namba moja atoe data za covid 19 kama anazo.
 
Mjinga mwingine akijenga hoja za kijinga kabisa.

wewe na huo uerevu wako umefukufikisha wap? umekua bilionea sasa? na wala tusikwepeshe mada apa, unachotakiwa kujua ni kwamba tumemchagua wenyewe na ujinga wetu! as long uko kwenye hii nchi utafuata sheria zote sio ombi ni lazima, kama unaumia sana hama nchi ama jitengenezee serikali yako nyumbani uko
 
Why should I relax when my country is being destroyed by few hooligans?

Don’t tell me to use lugha nzuri when my fellow innocent country men and women are being mistreated in their own country and sometimes murder.

I will continue to use the language of my choice and THERE IS NOTHING YOU CAN DO ABOUT IT.

You are NOBODY on this forum so stop your STUPIDITY TO PRETEND THAT YOU ARE SOMEBODY THEREFORE TO FORMULATE YOUR STUPIDITY on the type of language to use.
😂 😂 😂 😂 😂 and may magufuli take over forever, so far there is nothing you can do about it, na huezi mshtaki kokote! just die
 
Kama huyo dikteta anajiamini kwamba atashinda kirahisi kwanini anaihofia TUME HURU? Kwa sababu anajua fika HAPENDWI na Watanzania kila kona watamfanya vibaya na hivyo kumfungasha virago vyake ili arudi chatoi kuchunga kuku na kabla hajarudi chato tunamfungulia kesi kwa maovu yake mbali mbali.

2428714_ERFcWLLW4AIVOAq.jpg


wakina nan hao wanaanza kuamka? wanachama wenu mpaka katibu mkuu kawakimbia nan hao unaosema ndo wanaamka?? sisi tanzania tuwapigie cdm wale wale waliomleta fisadi 2015??? never! cha msingi vumilia tu, infact its already official huezi mshtaki just relax and wait for more 40 years before uende kupiga kura tena: wanachama wenu wenyewe hawawataki unategemea nan awatake? watu wanahama icho chama mpaka ishakua kawaida sasa
 

Attachments

  • ERFcWLLW4AIVOAq.jpg
    ERFcWLLW4AIVOAq.jpg
    104.5 KB · Views: 1
Kama huyo dikteta anajiamini kwamba atashinda kirahisi kwanini anaihofia TUME HURU? Kwa sababu anajua fika HAPENDWI na Watanzania kila kona watamfanya vibaya na hivyo kumfungasha virago vyake ili arudi chatoi kuchunga kuku na kabla hajarudi chato tunamfungulia kesi kwa maovu yake mbali mbali.

2428714_ERFcWLLW4AIVOAq.jpg

kwann cdm mnalazimisha ili muonekane mnapendwa? mnatumia nguvu nyingi wakati mwenzenu mpaka wanamfananisha na mitume! wanachama wenu wanahama kila sku mpaka ishakua kawaida, mm kama mwananchi wa kawaida ndo kabisa staki waskia, upuuzi mlioufanya 2015 kwa kwel staki ata kuskia icho chama, uzuri mmoja skuwapigia kura! wenzenu NCCR wanajenga chama nyie mnalilia tume huru ambayo mnajua kabisa hata ikiwekwa hamuambulii ata mbunge mmoja
 
Back
Top Bottom