Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
- Thread starter
- #121
Scars,Wote tunajifunza hapa na ndio maana tunafanya mjadala kubadilishana mawazo tupate maarifa mapya
Nataka nijue nchi hii mtu asiyekuwa na dini amepewa kipaumbele gani kwenye rank za madaraka
Lakini pia ningependa kujua ni vigezo gani ambavyo vinaangaliwa sana linapokuja swala la kupeana madaraka
Hapo juu nimeona umeelezea 80:20 ambayo imehusisha wakristo na waislamu
Lakini sijakuona ukijitokeza kuwasemea kundi lililosahaulika hapo (atheists) kuwa wanabaguliwa na viongozi wa dini hizo mbili (islam&christian) badala yake umeongelea uislam kua umezidiwa na ukristo katika rank za madaraka, ila atheists ambao hawajapata hata mtu mmoja serikalini umeona ni sawa
Kwanini iwe hivyo?
Bila kuijua historia ya uhuru wa Tanganyika utapata shida sana na kuja na hoja ambazo kwa mtu aneijua historia hii kwa kweli atabaki kucheka.
Angalia hizo picha hapo chini za harakati za kudai uhuru.
Nionyeshe mpagani hapo: