Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
- Thread starter
- #401
Master...ufahamishwe tu kuwa Sisi watu kubwa tumeshaanza kuhama kutoka kuwa wafuasi wa Dini yoyote, tumeamua kuwa wafuasi wa Mungu tu.
Dini tunaiweka kwenye vitu chonganishi Kwa sababu dini in it, it is people's way of living, it has nothing to do with God 's creation of human being ndio maana kila mtu huhudimiwa na Mungu kuanzia hewa na mvua bila kujali Dinii zenu
Fikiria huyu Mzee angekuwa ndio Mungu!
(God forgive) Angetupanga Kwa cha 666 kichwani huyu kibabu!
Mimi ninapoona mtu analeta kejeli, matusi na "name calling" huwa namkwepa simjibu.
Ila nakujibu wewe kutaka kukuongezea maarifa ili uelimike na ukipendezewa ujifunze adabu.
Mimi ukiniita "Kibabu," katika msamiati wetu watu wa Pwani unakuwa umekosea ikiwa nia yako ilikuwa kunitukana.
Ungeniita, "Kizee."
Ungefanya hivyo ungekuwa umenitukana kama ulivyokusudia.
Kikwetu, "Kibabu," ni jina anapewa mtoto mchanga wa kiume ambae bado hajapewa jina na akiwa mwanamke anaitwa, "Kibibi."