Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
- Thread starter
- #41
Kassy...Amin kwa sote.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa nitaingia nikate kiu ya kujua historia ya viongozi wetu wa zama hizo.Che...
Ingia www.mohammedsaid.com search ''gallery.''
Mzee Mohamed,
Vitu kama hivi uwe unatupia hapa JamiiForums nasi tupate kufaidi historia ambayo haijaandikwa ktk maandishi na watu wa Enzi yako au kipindi kabla cha kwako, ikiwemo kisa hiki cha Mwl. Nyerere kugaa gaa chini tumbo likimuuma baada ya kupata mlo huku Bi. Nyangombe Mgaya akipiga kelele kwa Kizanaki na Kiswahili kuhusu mwanae kuumwa ghafla tumbo....
Mohamed Said On Women Leadership Summit
Mohamed Said, mwanahistoria nguli kutoka Tanzania. Hapa alikuwa kama mgeni mwalikwa katika kilele cha mkutano wa Women Leadership Summit. Hapa anatoa kisa cha Nyerere kuhusu dhana ya kulishwa sumu, mchango wa mwanamke katika uhuru - hasa alitazamwa hayati Bibi Titi Mohamed.
Source: Muddyb Mwanaharakati
tupe hiko mkitabuNnangale...
Usiwe na haraka yalikuja mambo ya kusikitisha kuanzia 1963 baada ya Muslim Congress ya 1962 na 1963...
Ukisoma kitabu cha Abdul Sykes utayakuta humo.
Gas...tupe hiko mkitabu
Kawombe...nia ilikuwa hiyo kuhifadhi historia hii na kuelimisha watu.Mm pia nimevutiwa na elimu hii mpya sijapatapo pahala pengine.
title ya kitabu umecop&paste hapa na kuweka neno ally sykes tu.Nnangale...
Usiwe na haraka yalikuja mambo ya kusikitisha kuanzia 1963 baada ya Muslim Congress ya 1962 na 1963...
Ukisoma kitabu cha Abdul Sykes utayakuta humo.
hii konki hoja kwa hoja na kurekebisha palipotoka.[HASHTAG]#falsafa[/HASHTAG] inafanya kazi.Unachoshangaa kipi sasa?
Unashangaa Mjamaa hajatoa umuhimu kwa watu binafsi na kawashukuru kwa mpigo wakati itikadi ya ujamaa inamtaka awaangalie watu kwa mpigo na asiwaangalie mmoja mmoja kama watu binafsi?
Unashangaa mjamaa kufanya itikadi ya ujamaa inavyomtaka kufanya na kutofanya ubepari unavyomtaka kufanya?
Unashangaa Muarabu kuongea Kiarabu na kutojua Kiingereza?
Kruschev hakuwa mjamaa, alikuwa Mkomunisti aliyeuchukia Ukomunisti baada ya Stalin. Kruschev ndiye aliyeweka misingi ya kuvunjika kwa USSRambayo Gorbachev akaja kuimaliza. Sasa kumlinganisha Kruschev, a reformed Communist, na Nyerere, a Fabian Socialist, kamawote ni wajamaa, ni kutoelewa kwamba unachanganya mambo, hilo lakwanza.
Halafu lapili, hoja si Kruschev, ni Ujamaa. Inawezekana kabisa hata Kruschev angekuwa mjamaa wa jina akaendekeza kutajana majina, na Nyerere akaishikwa kanuni za Ujamaa za kushukuru kwa mpigo, mfano wa Nyerere ndio ungeonesha Mjamaa halisi.
Huwezi kusema kuiba kunaruhusiwa na Wakatoliki kwa sababu Papa kaiba, inawezekana Papa kaiba kwa sababu kapotoka,ukiwa na Mkatoliki Padre hataki kuiba, kwa sababu Katekisimu na Biblia vimekataza kuiba, hutakiwi kusema huyu mbona anakataa kuiba wakati Papa ameiba? Unatakiwa kusema mbona Papaanaiba wakati Biblia na Katekisimu vinakataza kuiba.
Vivyo hivyo, misingi ya Ujamaa haitaki ubishoo wa kutajatajamajina yooote ya watu, inasisitiza collective kuwa muhimu kulikoindividual, hivyo atatajwa mzee mmoja au wawili tu hapo, wengine watashukuriwa collectively kama "wazee" tu.
Sasa ukishakubali kwamba misingi ya Ujamaa inasisitiza kuangalia watu kwa mafungu kama collective, na Nyerere alikuwa mjamaa, itabidi ukubali tu kwamba alipowashukuru watu jumla jumla alikuwa anaishi kijamaa tu.
Kawombe,Mm pia nimevutiwa na elimu hii mpya sijapatapo pahala pengine.
UPANDE MWINGINE WA SHILINGI WA KUELEZEA ''HISTORIA'' YA HAYATI BABA WA TAIFA MWALIMU JK NYERERE : Mwalimu Nyerere ni kama Nabii :
Source: George Nyambo
Nnangale...
Usiwe na haraka yalikuja mambo ya kusikitisha kuanzia 1963 baada ya Muslim Congress ya 1962 na 1963...
Ukisoma kitabu cha Abdul Sykes utayakuta humo.