Baba Yako alipokuwa anakwambia Hana Ulimuona Mchoyo, vipi sasa unaionaje Hali?

Baba Yako alipokuwa anakwambia Hana Ulimuona Mchoyo, vipi sasa unaionaje Hali?

Nakumbuka nilikua namuona dingi mzinguaji sanaa alipokua akimgombeza maza, lakini hivi sasa Naheshimu sanaa Legacy ya dingi maana nimevaa uhusika wa kuishi na mwanamke nayaona kwa uhalisia aliyopitia Mshua.

R.I.P Father 😓
 
Ngoja niseme kwa watoto wangu.....
Kwanza hawajawahi kujua kama sina ama baba anaishiwa, na kama sina hua nawaahidi kwamba siku flani nitatimiza na lazima nitimize.
Lakini pia kwa namna nilivyo walea, hawa madogo wanamuamini baba yao (mimi) kuliko mtu yeyote duniani...😊
 
Ngoja niseme kwa watoto wangu.....
Kwanza hawajawahi kujua kama sina ama baba anaishiwa, na kama sina hua nawaahidi kwamba siku flani nitatimiza na lazima nitimize.
Lakini pia kwa namna nilivyo walea, hawa madogo wanamuamini baba yao (mimi) kuliko mtu yeyote duniani.....
Nakubali sana mkuu....
 
Ngoja niseme kwa watoto wangu.....
Kwanza hawajawahi kujua kama sina ama baba anaishiwa, na kama sina hua nawaahidi kwamba siku flani nitatimiza na lazima nitimize.
Lakini pia kwa namna nilivyo walea, hawa madogo wanamuamini baba yao (mimi) kuliko mtu yeyote duniani...😊
Halla Ushimen..
 
Ngoja niseme kwa watoto wangu.....
Kwanza hawajawahi kujua kama sina ama baba anaishiwa, na kama sina hua nawaahidi kwamba siku flani nitatimiza na lazima nitimize.
Lakini pia kwa namna nilivyo walea, hawa madogo wanamuamini baba yao (mimi) kuliko mtu yeyote duniani...😊
Halafu wakiwa wakubwa wataanza kuimba "nani kama mama"
 
Nakumbuka sebureni kulikua na sofa maalumu la kukaa mshua tu, ilo sofa hata asipokuwepo linabaki bila kukaliwa na yoyote. Nilikua namwona mzee dikteta ila badae sana nikaja kujifunza mwanaume bila kuwa na element za kidikteta watu watakuchukulia poa
 
Ngoja niseme kwa watoto wangu.....
Kwanza hawajawahi kujua kama sina ama baba anaishiwa, na kama sina hua nawaahidi kwamba siku flani nitatimiza na lazima nitimize.
Lakini pia kwa namna nilivyo walea, hawa madogo wanamuamini baba yao (mimi) kuliko mtu yeyote duniani...[emoji4]
Baba bora kabisa, kongolee kwako.
 
Nakumbuka sebureni kulikua na sofa maalumu la kukaa mshua tu, ilo sofa hata asipokuwepo linabaki bila kukaliwa na yoyote. Nilikua namwona mzee dikteta ila badae sana nikaja kujifunza mwanaume bila kuwa na element za kidikteta watu watakuchukulia poa
Mama zetu wanaficha hii knowledge but in reality mwanaume lazima uwe katili else jamii haikuheshimu
 
Back
Top Bottom