masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 16,207
- 14,343
Usiwe katiliMama zetu wanaficha hii knowledge but in reality mwanaume lazima uwe katili else jamii haikuheshimu
Kama umepata mwananke mnaelewana
Be friends
Tunaishi mara moja tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiwe katiliMama zetu wanaficha hii knowledge but in reality mwanaume lazima uwe katili else jamii haikuheshimu
Of course , but i guarantee you hatokuwa sweet for all that time, that when you take your position. Ukiwa soft soft every time wanakupanda, na hawa viumbe huwa wanatabianya ku test majiUsiwe katili
Kama umepata mwananke mnaelewana
Be friends
Tunaishi mara moja tu
🤣🤣🤣Mimi najiuliza dingi alikua anafanyaje hadi tunakula?? Maana hali si hali
👏🏽👏🏽👏🏽 safi sana, wewe ni kama baba yangu (Mungu amrehemu) kwa kweli hakuwahi kuniambia hana wala kutunyima chochote. Wakati mwingine ilikua tukiomba hela, atasema nitakupa kesho au wikiendi, ila jibu la sina sikuwahi kulisikia.Ngoja niseme kwa watoto wangu.....
Kwanza hawajawahi kujua kama sina ama baba anaishiwa, na kama sina hua nawaahidi kwamba siku flani nitatimiza na lazima nitimize.
Lakini pia kwa namna nilivyo walea, hawa madogo wanamuamini baba yao (mimi) kuliko mtu yeyote duniani...😊
Ipo hivyo mkuu, hata mimi dining table kuna kiti hakuna anakalia, madogo wanaambiana wasikae kiti cha baba.Nakumbuka sebureni kulikua na sofa maalumu la kukaa mshua tu, ilo sofa hata asipokuwepo linabaki bila kukaliwa na yoyote. Nilikua namwona mzee dikteta ila badae sana nikaja kujifunza mwanaume bila kuwa na element za kidikteta watu watakuchukulia poa
ili apate nguvu za kula tena... halafu akatafuteHahahaa kumbe ndio maana Mama alikua anampakulia Baba nyama nyingi.....
Yes Sir..👂Halla Ushimen..
Nisikie neno kutoka kwako chiefHahahaa kumbe ndio maana Mama alikua anampakulia Baba nyama nyingi.....
Endelea kupumzika mzee hakika sikuwahi kukosa kbsaa kipindi cha uhai wako😘😘😘Ndiyo!
Nakukumbusha wewe, ulipokuwa mdogo uliona kama baba yako anakunyima Hela😅😅
sasa ni zamu yako kuzitafuta, Unaionaje Hali?
Ukiombwa Hela Unaitoa Kirahisi?
Aseeh nimekuelewa mkuuAcha tu Ndugu yangu
View attachment 3243571
Mimi Kama sehemu ya watoto wako, nasema hili ni kweli kabisa. UshimenNgoja niseme kwa watoto wangu.....
Kwanza hawajawahi kujua kama sina ama baba anaishiwa, na kama sina hua nawaahidi kwamba siku flani nitatimiza na lazima nitimize.
Lakini pia kwa namna nilivyo walea, hawa madogo wanamuamini baba yao (mimi) kuliko mtu yeyote duniani...😊