Mungu niguse
JF-Expert Member
- Dec 19, 2024
- 272
- 729
- Thread starter
- #21
hakuna haja ya kumkumbushia Ila ni kweli ana njaa sana huyu binti
Hakika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hakuna haja ya kumkumbushia Ila ni kweli ana njaa sana huyu binti
Nayatunza haya maneno kuntu kwenye kikao Cha tarehe kumi na tisa ,watajua hawajui hawa watendaji ni mwendo kingereza tuThis logical fallacy is called ad hominem.
An ad hominem attack occurs when someone does not address the points raised, but focuses on attacking the person raising the points.
😲😲😲😲Bora ngemwaga njeee kuliko mwaga ndaniii ... alisikika muzeee mumoja wa kaskazini
Umeelewa maana lakini?Nayatunza haya maneno kuntu kwenye kikao Cha tarehe kumi na tisa ,watajua hawajui hawa watendaji ni mwendo kingereza tu
Ila Kaboi frend kasipo jibu msg unakasamehe ila Baba unaweka Kinyongo.Wakina baba huwa mnazingua sana, mnachojua ni kutoa hela tu ila sio kulea kwa upendo.
Nilimtumia baba angu msg whatsApp 'Baba jumamosi ya tar 2_ ni graduation yangu ya chuo' ila hiyo msg haijajibiwa mpaka kesho zaidi ya tick ya blue.
Miezi imepita NINA KINYONGO NAE..!
Sio kweli, Mbona Diamond amemkataa baba yake mzee Abdul na bado yupo anadunda.Baba ndo chanzo chako yeye ndo mbegu na yeye ndo amesababisha wewe kuzaliwa.
Lazima ukae vizuri na baba yako ili akubariki .
Ni kosa kubwa kumtenga baba yako na kumkimbia utazokosa baraka.
Mama mzazi Ana "wish" Ila baba mzazi Ana "say ".
Hakikisha unakaa vizuri na baba yako huyo ndo kila kitu na ndo nguvu yako ya uzima.
Kwa wale ambao baba zao wameshafariki hakikisha unakuwa na ibada maalumu kila mwaka ya kumuombea Baba yako mzazi.
NB : baraka ni pamoja na kuwa na akili nzuri yenye kujitambua .
Cheki hili nalo alafu unawezakuta ni ME linalilia graduation kama litoto lidogo, baba yako makubwa yote aliyokufanyia hata hauoni, wewe unaona Gradu ndio muhimu kuliko huduma yote uliyopata mpaka ukahitimu.Wakina baba huwa mnazingua sana, mnachojua ni kutoa hela tu ila sio kulea kwa upendo.
Nilimtumia baba angu msg whatsApp 'Baba jumamosi ya tar 2_ ni graduation yangu ya chuo' ila hiyo msg haijajibiwa mpaka kesho zaidi ya tick ya blue.
Miezi imepita NINA KINYONGO NAE..!
Maana kuu ni mtu kuacha point ya msingi nakuanza kukushambulia wewe au nimekosea Kaka ,nirekebishe labda nikawapige nondo hawa wazeeUmeelewa maana lakini?
Baba akisema ufanikiwi na aufanikiwi kweli et ndio una mainisha hivyo au endeleeni kuwadanganya!Baba ndo chanzo chako yeye ndo mbegu na yeye ndo amesababisha wewe kuzaliwa.
Lazima ukae vizuri na baba yako ili akubariki.
Ni kosa kubwa kumtenga baba yako na kumkimbia utazokosa baraka.
Mama mzazi Ana "wish" Ila baba mzazi Ana "say ".
Hakikisha unakaa vizuri na baba yako huyo ndo kila kitu na ndo nguvu yako ya uzima.
Kwa wale ambao baba zao wameshafariki hakikisha unakuwa na ibada maalumu kila mwaka ya kumuombea Baba yako mzazi.
NB: Baraka ni pamoja na kuwa na akili nzuri yenye kujitambua.
Kinyongo kwa baba yako kisa graduation? Kwahiyo umeacha kuwa mwanae kimoyomoyo?Wakina baba huwa mnazingua sana, mnachojua ni kutoa hela tu ila sio kulea kwa upendo.
Nilimtumia baba angu msg whatsApp 'Baba jumamosi ya tar 2_ ni graduation yangu ya chuo' ila hiyo msg haijajibiwa mpaka kesho zaidi ya tick ya blue.
Miezi imepita NINA KINYONGO NAE..!
Wewe ni mmoja wa wazazi wanaojua kuhudumia lakini hawajui kulea.Kinyongo kwa baba yako kisa graduation? Kwahiyo umeacha kuwa mwanae kimoyomoyo?
Una matatizo mengi sana wewe.
Ebu mkuu nioneshe ni maandiko yapi yanasema kuwaombea wafu 🤔lete msaafu wowote aidha wa Christian au Muslim unipe quotesBaba ndo chanzo chako yeye ndo mbegu na yeye ndo amesababisha wewe kuzaliwa.
Lazima ukae vizuri na baba yako ili akubariki.
Ni kosa kubwa kumtenga baba yako na kumkimbia utazokosa baraka.
Mama mzazi Ana "wish" Ila baba mzazi Ana "say ".
Hakikisha unakaa vizuri na baba yako huyo ndo kila kitu na ndo nguvu yako ya uzima.
Kwa wale ambao baba zao wameshafariki hakikisha unakuwa na ibada maalumu kila mwaka ya kumuombea Baba yako mzazi.
NB: Baraka ni pamoja na kuwa na akili nzuri yenye kujitambua.
Kumwaga nini be specificBora ngemwaga njeee kuliko mwaga ndaniii ... alisikika muzeee mumoja wa kaskazini
Itakuwa aligundua wewe sio mtoto wake kuna faulo ilichezwa.!! Pole sana 😹😥Wakina baba huwa mnazingua sana, mnachojua ni kutoa hela tu ila sio kulea kwa upendo.
Nilimtumia baba angu msg whatsApp 'Baba jumamosi ya tar 2_ ni graduation yangu ya chuo' ila hiyo msg haijajibiwa mpaka kesho zaidi ya tick ya blue.
Miezi imepita NINA KINYONGO NAE..!
Dah.!! 😹Hakika mkuu , binti anahangaika tu na maisha ya kugombania vocha za bure
Naam, naam.Maana kuu ni mtu kuacha point ya msingi nakuanza kukushambulia wewe au nimekosea Kaka ,nirekebishe labda nikawapige nondo hawa wazee
Nimo nimo kiasi Kaka sema ndiyo vile hii lugha inataka kujiamini Sana .Naam, naam.
Nilichelea ukariri maneno ya Kiingereza bila kuelewa maana, lakini umepiga mule mule.