Baba yako ndo chanzo chako hivyo ukimkataa lazima ukose baraka

Baba yako ndo chanzo chako hivyo ukimkataa lazima ukose baraka

This logical fallacy is called ad hominem.

An ad hominem attack occurs when someone does not address the points raised, but focuses on attacking the person raising the points.
Nayatunza haya maneno kuntu kwenye kikao Cha tarehe kumi na tisa ,watajua hawajui hawa watendaji ni mwendo kingereza tu
 
Bora ngemwaga njeee kuliko mwaga ndaniii ... alisikika muzeee mumoja wa kaskazini
 
Wakina baba huwa mnazingua sana, mnachojua ni kutoa hela tu ila sio kulea kwa upendo.

Nilimtumia baba angu msg whatsApp 'Baba jumamosi ya tar 2_ ni graduation yangu ya chuo' ila hiyo msg haijajibiwa mpaka kesho zaidi ya tick ya blue.

Miezi imepita NINA KINYONGO NAE..!
Ila Kaboi frend kasipo jibu msg unakasamehe ila Baba unaweka Kinyongo.
Shaur lako
 
Baba ndo chanzo chako yeye ndo mbegu na yeye ndo amesababisha wewe kuzaliwa.

Lazima ukae vizuri na baba yako ili akubariki .

Ni kosa kubwa kumtenga baba yako na kumkimbia utazokosa baraka.

Mama mzazi Ana "wish" Ila baba mzazi Ana "say ".

Hakikisha unakaa vizuri na baba yako huyo ndo kila kitu na ndo nguvu yako ya uzima.

Kwa wale ambao baba zao wameshafariki hakikisha unakuwa na ibada maalumu kila mwaka ya kumuombea Baba yako mzazi.


NB : baraka ni pamoja na kuwa na akili nzuri yenye kujitambua .
Sio kweli, Mbona Diamond amemkataa baba yake mzee Abdul na bado yupo anadunda.
 
Wakina baba huwa mnazingua sana, mnachojua ni kutoa hela tu ila sio kulea kwa upendo.

Nilimtumia baba angu msg whatsApp 'Baba jumamosi ya tar 2_ ni graduation yangu ya chuo' ila hiyo msg haijajibiwa mpaka kesho zaidi ya tick ya blue.

Miezi imepita NINA KINYONGO NAE..!
Cheki hili nalo alafu unawezakuta ni ME linalilia graduation kama litoto lidogo, baba yako makubwa yote aliyokufanyia hata hauoni, wewe unaona Gradu ndio muhimu kuliko huduma yote uliyopata mpaka ukahitimu.

Wewe kilazi kweli.
 
Baba ndo chanzo chako yeye ndo mbegu na yeye ndo amesababisha wewe kuzaliwa.

Lazima ukae vizuri na baba yako ili akubariki.

Ni kosa kubwa kumtenga baba yako na kumkimbia utazokosa baraka.

Mama mzazi Ana "wish" Ila baba mzazi Ana "say ".

Hakikisha unakaa vizuri na baba yako huyo ndo kila kitu na ndo nguvu yako ya uzima.

Kwa wale ambao baba zao wameshafariki hakikisha unakuwa na ibada maalumu kila mwaka ya kumuombea Baba yako mzazi.

NB: Baraka ni pamoja na kuwa na akili nzuri yenye kujitambua.
Baba akisema ufanikiwi na aufanikiwi kweli et ndio una mainisha hivyo au endeleeni kuwadanganya!
 
Wakina baba huwa mnazingua sana, mnachojua ni kutoa hela tu ila sio kulea kwa upendo.

Nilimtumia baba angu msg whatsApp 'Baba jumamosi ya tar 2_ ni graduation yangu ya chuo' ila hiyo msg haijajibiwa mpaka kesho zaidi ya tick ya blue.

Miezi imepita NINA KINYONGO NAE..!
Kinyongo kwa baba yako kisa graduation? Kwahiyo umeacha kuwa mwanae kimoyomoyo?
Una matatizo mengi sana wewe.
 
Baba ndo chanzo chako yeye ndo mbegu na yeye ndo amesababisha wewe kuzaliwa.

Lazima ukae vizuri na baba yako ili akubariki.

Ni kosa kubwa kumtenga baba yako na kumkimbia utazokosa baraka.

Mama mzazi Ana "wish" Ila baba mzazi Ana "say ".

Hakikisha unakaa vizuri na baba yako huyo ndo kila kitu na ndo nguvu yako ya uzima.

Kwa wale ambao baba zao wameshafariki hakikisha unakuwa na ibada maalumu kila mwaka ya kumuombea Baba yako mzazi.

NB: Baraka ni pamoja na kuwa na akili nzuri yenye kujitambua.
Ebu mkuu nioneshe ni maandiko yapi yanasema kuwaombea wafu 🤔lete msaafu wowote aidha wa Christian au Muslim unipe quotes
 
Wakina baba huwa mnazingua sana, mnachojua ni kutoa hela tu ila sio kulea kwa upendo.

Nilimtumia baba angu msg whatsApp 'Baba jumamosi ya tar 2_ ni graduation yangu ya chuo' ila hiyo msg haijajibiwa mpaka kesho zaidi ya tick ya blue.

Miezi imepita NINA KINYONGO NAE..!
Itakuwa aligundua wewe sio mtoto wake kuna faulo ilichezwa.!! Pole sana 😹😥
 
Naam, naam.

Nilichelea ukariri maneno ya Kiingereza bila kuelewa maana, lakini umepiga mule mule.
Nimo nimo kiasi Kaka sema ndiyo vile hii lugha inataka kujiamini Sana .

Ndiyo maana nikichanganyaga maneno kuntu Kama haya wote wanaishia kuniangalia kwa huruma maana hawaelewi
 
Back
Top Bottom