Choosen85
JF-Expert Member
- Jun 22, 2022
- 1,143
- 2,475
Wakuu mmebarikiwa sana, ninyi ni wa juu.
Baba yangu aliwahi kuniambia mambo matatu kuhusu wanawake, na nikiwaendekeza katu sitafanikiwa na hakuna jambo taweza lifanya kama nisipokuwa makini.
Moja, mwanamke ukshakuwanaye ndani yeye anawaza namna ya kukutawala na kuhakiksha mnakuwa kama ka kisiwa, usipokuwa imara atakutenganisha na ndugu, wazazi na marafiki.
Pili, mwanamke anaangalia sana maslahi, mali, pesa na wakati wowote akitokea mtu mwenye navyo kuliko wewe atakuacha, ni nyoka na kinyonga.
Tatu, mwanamke anawaza kupigwa dushe, sitakiwi kuendekeza niwe makini.
Ni hayo tu wakuu.
Thanks dady.
Nasubiri maoni yenu.
Baba yangu aliwahi kuniambia mambo matatu kuhusu wanawake, na nikiwaendekeza katu sitafanikiwa na hakuna jambo taweza lifanya kama nisipokuwa makini.
Moja, mwanamke ukshakuwanaye ndani yeye anawaza namna ya kukutawala na kuhakiksha mnakuwa kama ka kisiwa, usipokuwa imara atakutenganisha na ndugu, wazazi na marafiki.
Pili, mwanamke anaangalia sana maslahi, mali, pesa na wakati wowote akitokea mtu mwenye navyo kuliko wewe atakuacha, ni nyoka na kinyonga.
Tatu, mwanamke anawaza kupigwa dushe, sitakiwi kuendekeza niwe makini.
Ni hayo tu wakuu.
Thanks dady.
Nasubiri maoni yenu.