Huyu Mzee ana PEPO WA NGONO AU kitaalam SEXUAL MANIAC.
Kwanza ni kum-consell mama na mtoto wapone majeraha, kisha kudeal na MZEE WA MAPEPO.
Huyu mzee anastahili kwenda JELA kutumikia kifungo cha miaka 30, HUKO atakutana na wenye mapepo wenzake WANTAFUNE na yeye aone raha ya kutafuna kwa nguvu. Kisha pepo wake watamtoka au watashika adabu.
wabongo tumekuwa na tabia mbaya sana ya kulea maovu, tunalea na kukingia kifua maovu mengi kuanzia ndani ya familia zetu hadi kwenye ngazi za serikali, ufisadi, umalaya, ufataki,ulevi, n.k. Hii ni aibu kubwa, huyu anatakiwa kuhukumiwa kwa kosa lake hata km ni baba.
Mimi kuna watu ambao siwezi kuwasamehe:
1. MBAKAJI
2. JAMBAZI
3. ANAYETAFUNA WAKE ZA WATU
HAWA ni watu wa kuondoshwa kabisa ktk jamii. kungekuwa nauwezekano wa kuwapeleka sayari yao ingekuwa poa sana. hawafai, msiwaonee huruma.:bange: