Unaongelea baba tu na yule msichana je?Nahisi Chupaku roho yako ipo kwatu hivi sasa ukisoma jinsi baba yako anavyo chambwa.
Angekuwa mtoto wako amebakwa ungesema hivihivi?yaani hawa ndo madingi mi naowataka...sio umestafu unakuwa una kazi ya kusimulia hadithi wajukuu kibarazani..haya ndo mambo sasa yaani mama akizubaaa tu unajipindua anakukuta uko nyavuni unatweta tu..nani kasema ng'ombe inaseeka maini?eeeh hisi ni ng'ombe sa ngelengele au alusha? Aminia baba yaani katika hili tupo ukurasa mmoja...
Si kila jambo la kifamilia ni kulileta mtandaoni, ni sawa sawa na Mke/Mume kunyimwa haki ya unyumba kisha ukaamua kuitisha mkutano wa hadhara na kuomba ushauri kwa kila aliye udhuria hapo..!Mbona kawaida sana mkuu? humu tunashauriana mambo mengi tu na hata kwa ujumla wake ndio yanayoleta maana ya MMU
Naomba unisome kwanza, nina maana gani katika kila sentesi yangu.Unaongelea baba tu na yule msichana je?
Si kila jambo la kifamilia ni kulileta mtandaoni, ni sawa sawa na Mke/Mume kunyimwa haki ya unyumba kisha ukaamua kuitisha mkutano wa hadhara na kuomba ushauri kwa kila aliye udhuria hapo..!
Ili swala linabakia la kifamilia zaidi...! Na kama ilishindikana basi wangepeleka kwenye vyombo vya sheria ili sheria ichukuwe mkondo wake na si kila kitu kukianika hapa... Na ndio maana kesi za kifamilia mara nyingi huwa zinasikilizwa falagha hata uko mahakamani si kila mtu anatakiwa kuhudhuria.
Hii ya kuja hapa na kuelezea aibu ya baba/mama yako mzazi mimi naiona ni kujivunjia na kumvunjia adabu mzee wako.
Kuna mambo ya kuzingatia linapotokea jambo kama ili...!
Wahusika wa kadhia hii wameshindwa vipi kwenda kwenye vyombo vya usalama (Polisi), na kama waliona ni hatari kwenda polisi au kwa katibu kata, Je familia ilishindwa kukaa na kulizungumza tatizo... Je wazee wa ukoo walishirikishwa?
Kuna Kuwaona viongozi wa kidini, nao vipi hawafahi?
Naomba unisome kwanza, nina maana gani katika kila sentesi yangu.
Angefuata utaratibu wa kisheria, kila mtu angepata haki yake kuanzia huyo binti mpaka baba na mama yake muhusika...! Lakini tangia mwanzo ameshindwa kufuata utaratibu unao takiwa, na ndio maana mimi ninamshupalia mleta mada kuwa hana adabu, ili suhala si la kulileta kwenye tovuti baraza... Wanapaswa kulizungumzia uko uko kwenye vikao vya kifamilia au kiukoo kama wameshindwa kwenda kwenye vyombo vya sheria.
Mkuu kama wewe unanipinga ni sawa, sitarajii watu waniunge mkono, hayo niliyo yaeleza hapo juu ndio msimamo wangu, yawe yamenikuta au hayajanikuta...! Huo ndio msimamo thabiti kutoka kwenye akili na fikra zangu.Mkuu, napingana na wewe kwa asilimia zote..hayajakukuta.
Pia umejadili upande wa kuvunjiwa heshima kwa baba tu, na yule dada?
Nakuuliza, ulitaka JF ziletwe issue gani?
Unafikiri watu hawa hapa JF ni watoto? Na ni aibu gani hiyo aliyeisababisha? Lipi ni aibu zaidi, kubaka au kutuwekea hapa JF??
Ulitaka ukisikie kisa hiki kwenye radio, tv, na mitaani, ndo ufurahi??
Mhusika anaomba ushauri, yule anayefikiri anaweza kuchangia mawazo yake atafanya hivyo, na asiyeweza basi anyamaze kimya.
JF ni kama jamii, ni watu na wanamaisha ya kawaida. Mi naamini hakuna issue isiyoweza kuzungumzwa. Hata kama mkewe atamnyima unyumba, pia inaweza kujadilika.
Nasema hivi, umeshindwa kunielewa tangia mwanzo au umeharakisha kujibu nilicho bandika hapo juu...!hapo kwenye RED, una maanisha mahakamani! pia ungeweza kukuta audience kama ya hapa JF. Kama adabu ni hiyo mzee ndo amekosa! Kosa ni kosa, haijalishi nani amefanya.. Na tayari ameshakwambia karibu kila mtu mtaani anajua, so hapo kuna siri gani tena?
Mi nafikiri ungehoji kama kweli mzee wa miaka 70 anaweza kubaka binti wa miaka 18, na ni katika mazingira gani?
Mzazi wa aina hii hana heshima yeyote mbele ya jamii, wala hastahili kuwa mfano wowote, ukitaka kuheshimiwa jiheshimuIf what Chupaku is saying is true...then haya yote ni ya kushangaza sana!
Siungi mkono kwa mtu mzima kuleta mada kama hii ambayo vyombo vya sheria vimeelekeza wazi adhabu kwa watu hawa...
Sidhani pia kama ni sahihi kuanika 'very dirty linen' kwenye public, maana tunaweza tukaongea yetu binafsi na ya wapenzi wetu ama watoto ...lakini wazazi wanastahili heshima ya pekee na sidhani kama hapa JF patatoa suluhu la mtafaruku huu,
Kama unawaheshimu wazazi wako waachie wenyewe wamalize haya mambo, haya si ya hapa, mzee wa miaka 70! I doubt if he could even get it up , let alone muster strength to rape..
Anyways mimi sidhani kama hii ni issue yetu kama ni kweli, maana ubakaji ni kosa la jinai na adhabu ni kifungo cha miaka 30 jela!
Nafikiri yule mzee ndio kakosa adabu mkuu. mwenye kosa anastahili kuface adhabu, ndio maana mtoto akiwa police mzazi wake akikosa na yeye akapangwa kwenye kundi la kumkamata huwa anamkamata. kuna baba mtu mzima alienda kumtembelea mwanawe maeneo ya tabata akawa anashinda na mjukuu wake wa kike, miaka sita, ai alimbaka??? na walimpeleka kwenye sheria, unafikiri wangemuheshimu sababu ni baba?Nasema hivi, umeshindwa kunielewa tangia mwanzo au umeharakisha kujibu nilicho bandika hapo juu...!
Mzee wa miaka 70 anaweza kuwa na nguvu za kubaka, sikatai... anaweza kuwa kamvizia akiwa usingizini... inawezekana... au inawezekana ahadi aliyompa kashindwa kuitekeleza... inawezekana pia.
Hiyo sababu ya kusema kuwa kila mtu mtaani anajuwa kilicho tendeka si sababu ya yeye kukileta iki kisa kwenye tovuti baraza...! Na sikubalini na utetezi wake kuwa eti wameshindwa kupata mwafaka wa ili tatizo... Bado nasisitiza kuwa alipaswa kulipeleka ili suhala kwenye vyombo vya kisheria, au kuwaita wazee wa ukoo, kuna mabaraza ya ushauri, kuna viongozi wa dini... Je uko kote wamekosa suruhisho mpaka yeye aje hapa kumuhanika baba yake mzazi?
Hana adabu tu.... Basi.
Mkuu kama wewe unanipinga ni sawa, sitarajii watu waniunge mkono, hayo niliyo yaeleza hapo juu ndio msimamo wangu, yawe yamenikuta au hayajanikuta...! Huo ndio msimamo thabiti kutoka kwenye akili na fikra zangu.
Kama wewe yatakukuta sawa yalete tu humu tuwajadili wazazi wako, kwani watu wengi wanapenda sana kujadili masuwala ya watu wengine na haswa mambo ya kifamilia.
Huu mimi bado nauita ni umbea tu, na kizazi cha sasa, kizazi cha mtandao wanayapenda sana haya...! Hii yote ni kukosa nidhamu na kuyaangalia mambo mwisho ncha ya pua.
Naona umepigia mstari yale ambayo wewe umeyapenda, ila yale ambayo nimeyaelekeza kwa mleta mada kuwa alipaswa au walipaswa kuyafanya huyataki, kwa kuwa yatakunyima uondo wa hii habari.
tafadhari soma post namba #84
Mie bado naona yuko sahihi sababu hapa tunabadilishan mawazo na issue zote na za aina zote ndio maana tupo hapa au unataka happa tuwe tunasoma tu mume wangu, mke wangu, sijui gf, bf pia hii nayo ni mahala sahihi kabisa. Na huyu mdingi wala hastahili heshima yeyote kama ameweza kumfanyia huyu kesho atamfanyia mjukuu, na ushaambiwa issue ipo public na pia unasema afuate sheria kule mahakamani kuna kina shigongo na kina paschal wataisoma kwenye jahazi, na umewasahau kina Gea piaSi kila jambo la kifamilia ni kulileta mtandaoni, ni sawa sawa na Mke/Mume kunyimwa haki ya unyumba kisha ukaamua kuitisha mkutano wa hadhara na kuomba ushauri kwa kila aliye udhuria hapo..!
Ili swala linabakia la kifamilia zaidi...! Na kama ilishindikana basi wangepeleka kwenye vyombo vya sheria ili sheria ichukuwe mkondo wake na si kila kitu kukianika hapa... Na ndio maana kesi za kifamilia mara nyingi huwa zinasikilizwa falagha hata uko mahakamani si kila mtu anatakiwa kuhudhuria.
Hii ya kuja hapa na kuelezea aibu ya baba/mama yako mzazi mimi naiona ni kujivunjia na kumvunjia adabu mzee wako.
Kuna mambo ya kuzingatia linapotokea jambo kama ili...!
Wahusika wa kadhia hii wameshindwa vipi kwenda kwenye vyombo vya usalama (Polisi), na kama waliona ni hatari kwenda polisi au kwa katibu kata, Je familia ilishindwa kukaa na kulizungumza tatizo... Je wazee wa ukoo walishirikishwa?
Kuna Kuwaona viongozi wa kidini, nao vipi hawafahi?
If what Chupaku is saying is true...then haya yote ni ya kushangaza sana!
Siungi mkono kwa mtu mzima kuleta mada kama hii ambayo vyombo vya sheria vimeelekeza wazi adhabu kwa watu hawa...
Sidhani pia kama ni sahihi kuanika 'very dirty linen' kwenye public, maana tunaweza tukaongea yetu binafsi na ya wapenzi wetu ama watoto ...lakini wazazi wanastahili heshima ya pekee na sidhani kama hapa JF patatoa suluhu la mtafaruku huu,
Kama unawaheshimu wazazi wako waachie wenyewe wamalize haya mambo, haya si ya hapa, mzee wa miaka 70! I doubt if he could even get it up , let alone muster strength to rape..
Anyways mimi sidhani kama hii ni issue yetu kama ni kweli, maana ubakaji ni kosa la jinai na adhabu ni kifungo cha miaka 30 jela!
Gagaaaa, hivi unaelewa kweli ninacho kisema!? Labda Tunaogelea kwenye bahari tofauti.Nafikiri yule mzee ndio kakosa adabu mkuu. mwenye kosa anastahili kuface adhabu, ndio maana mtoto akiwa police mzazi wake akikosa na yeye akapangwa kwenye kundi la kumkamata huwa anamkamata. kuna baba mtu mzima alienda kumtembelea mwanawe maeneo ya tabata akawa anashinda na mjukuu wake wa kike, miaka sita, ai alimbaka??? na walimpeleka kwenye sheria, unafikiri wangemuheshimu sababu ni baba?
Mkuu wewe ndio Chupaku I mean una ID mbili... just curiosity...! Anyway mimi sioni cha kujadili hapa. Kama wameshindwa kufuata taratibu tangia mwanzo, unategemea kupata suruhisho sasa?sitaki kupinga mchango wako moja kwa moja..Ila hoja yangu ni kwanini unaona vitu vingine visiwekwe hapa jamvini kujadiliwa..Ulipendelea watu wajadili mambo gani??
Haya mambo ni maisha yetu ya kila siku kwenye jamii zetu, hivyo kwenye hii topic, kama ni aibu basi ni baba ndo ameileta.
Ila kama mleta mada angekuja hata na kuanza kumtukana baba yake, hapo labda tungekuwa na la kuhoji. lakini nafikiri lengo kuu ilikuwa ni kumpa ushauri, na sio kuangalia kama hapa ni sehemu sahihi ama vipi??
Kuna wengine hapa jamvini wameleta visa vya wao kubakwa, na baadhi ya wanajamvi waliwasaidi kiushauri na hata kuonana uso kwa uso
Kwani hapa waaleta issue za aina gani? nimekupata ila tu sikubaliani na wewe, mzazi aheshimiwe ila kama hataki kuheshimiwa hiyo ni juu yake. atabaki kama mzazi ila kuheshimika hataheshimika kamwe, kwa hili, na mama yake anaweza kufa kwa presha sababu mzee mwenyewe hata hajali kama mkewe anaumia kiasi gani, bado namtetea ameleta mahali husika, kuna wengi wanashindwa kuwazodoa wazazi wanapofanya ufedhli kama huu, mzazi wa aina hii wala hana nafasi ya heshima kwa jamii na anatakiwa atengwe akae mbali na binadamu wa kawaida sababu wakati wowote anaweza kufanya madhara makubwa ambayo yanacost maisha ya mtu mwingine milele ne milele, huyu mtu aheshimiwe wa nini?Gagaaaa, hivi unaelewa kweli ninacho kisema!? Labda Tunaogelea kwenye bahari tofauti.
Ni wazee wangapi wanakosa adabu... Je wanahanikwa adharani, pili kwa maneno yako hapo juu... Nanukuu "... mwenye kosa anastahili kuface adhabu" end quote.
Sasa hii kuja kuanika hapa JF ndio adhabu stahili yake?
Mwisho umeandika hadithi au liwaya nyingine kuwa kuna aliyebaka mjukuu wake...! Je walimuhanika kwenye tovuti au walimpeleka kwenye vyombo vya sheria....! Jibu umeliandika hapo kuwa walimpeleka polisi na sheria ikachukuwa mkondo wake.
Swali linakuja...
Je mleta mada ameyafanya hayo ya kwenda kwenye vyombo vya sheria?
Sina uhakika kama unaelewa maana ya neno heshima.
Anyway kila mtu ana upeo wake wa kufikiria.... Mimi upeo wangu ndio hapo ulipo ishia... Yaani ni kwamba watu wawe wanafuata taratibu za kisheria na si kila jambao kukurupuka na kuja kwenye tovuti baraza na kuelezea yalio tokea kwenye familia zao.... Full stop.
Mkuu bwana soma hii" ni wangapi wanabaka! ni wote wanafikishwa mahakamani?" hapo ujapembua vizuri sababu wengine hawashikwi wengine hawana uthubutu wa kusema popote pale na watuhumiwa wanazidi kufanya uhalifu waoGagaaaa, hivi unaelewa kweli ninacho kisema!? Labda Tunaogelea kwenye bahari tofauti.
Ni wazee wangapi wanakosa adabu... Je wanahanikwa adharani, pili kwa maneno yako hapo juu... Nanukuu "... mwenye kosa anastahili kuface adhabu" end quote.
Sasa hii kuja kuanika hapa JF ndio adhabu stahili yake?
Mwisho umeandika hadithi au liwaya nyingine kuwa kuna aliyebaka mjukuu wake...! Je walimuhanika kwenye tovuti au walimpeleka kwenye vyombo vya sheria....! Jibu umeliandika hapo kuwa walimpeleka polisi na sheria ikachukuwa mkondo wake.
Swali linakuja...
Je mleta mada ameyafanya hayo ya kwenda kwenye vyombo vya sheria?
Sina uhakika kama unaelewa maana ya neno heshima.
Anyway kila mtu ana upeo wake wa kufikiria.... Mimi upeo wangu ndio hapo ulipo ishia... Yaani ni kwamba watu wawe wanafuata taratibu za kisheria na si kila jambao kukurupuka na kuja kwenye tovuti baraza na kuelezea yalio tokea kwenye familia zao.... Full stop.
Gaga tafadhali soma tena topic namba #96 na #97 kwa uzuri kisha niambie wapi ujaelewa.Kwani hapa waaleta issue za aina gani? nimekupata ila tu sikubaliani na wewe, mzazi aheshimiwe ila kama hataki kuheshimiwa hiyo ni juu yake. atabaki kama mzazi ila kuheshimika hataheshimika kamwe, kwa hili, na mama yake anaweza kufa kwa presha sababu mzee mwenyewe hata hajali kama mkewe anaumia kiasi gani, bado namtetea ameleta mahali husika, kuna wengi wanashindwa kuwazodoa wazazi wanapofanya ufedhli kama huu, mzazi wa aina hii wala hana nafasi ya heshima kwa jamii na anatakiwa atengwe akae mbali na binadamu wa kawaida sababu wakati wowote anaweza kufanya madhara makubwa ambayo yanacost maisha ya mtu mwingine milele ne milele, huyu mtu aheshimiwe wa nini?