Asante ni kcmcPole sana mkuu..ni hospitali gani?
AsantePole sana mkuu kilichobaki ni kumuomba mungu ampe uzima kwani yeye ndio ajuae kila kitu.
AsanteMimi sina utalaam na mambo ya Afya,ninachosema ni Pole ndugu na familia yenu nzima.
Naamimini Mungu atamponya. Sema Amen
AsantePole brother!!!
AsantePole sana mkuu
AsantePole sana, swala lililobaki ni kumwomba mwenyezi Mungu na kumwombea.
AmenAtazinduka kwa damu ya Yesu Kristo