MtamaMchungu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 8,974
- 12,662
Ninavyojua utetezi ni "Crime of passion", hiyo inatokea ukishtukizwa bila kujua. Unarudi zako home, unafungua mlango wa jikoni, ghafla mkeo yuko na houseboy wanakulana juu ya sink; unachukua kisu, unakandimiza kwenye shingo.Ila bado ana uwezo wa kujitetea maana mke wa mtu saa kumi usiku haupo ndani na mume alimuacha ndani atakuwa ameenda wapi?
Nani sasa hataisibitishia mahakama kuwa aliweka mtego wakumkamata mgoni wake
Mku anauma..... panga moja kapewa permanent disabilityNa inaonekana panga lilinolewa kabisa. Pigo moja mkono chini! Msinsi anamtetea msinsi! Tufwile banyambala!!
Sasa wewe siyo mtu wa panga, ni sululu!Ila babati ngono nje nje. Kuna dada nilienda k tembelea kwake mchana nashangaa nimefika tu kaingia bafuni kajiosha katoka mtupu. Nilishindwa vumilia rangi imekolea, milk standing, paja nene na kaushuzi kamechomoka. Nikamkuta for lunch. Sijui ndo kimasihara.
Ila babati ngono nje nje. Kuna dada nilienda k tembelea kwake mchana nashangaa nimefika tu kaingia bafuni kajiosha katoka mtupu. Nilishindwa vumilia rangi imekolea, milk standing, paja nene na kaushuzi kamechomoka. Nikamkuta for lunch. Sijui ndo kimasihara.
Vipi kama itabainika kuwa jamaa aliweka mtego na s kwamba alirudi nyumbani kuja kufumania na kuua .hapo bado hana murder case?Naiona manslaughter ,siioni murder hapo.
Kidogo Sana. Angesikia akamtafuta na kumkata mapanga ingekuwa kesi tofauti, SASA kamkuta mgoni juu ya mkewe panga mkononi ulitaka achukue photoshoot? Wataalamu wanasema hiyo sio murder ni manslaughter.
Malaya wapo kibao mpaka utongonze mke wa mtu ni panga tu ndoo dawa ya wazinziAmeua mtu mmoja na kumjeruhi mwingine vibaya, hatakiwi kurudi uraiani tena.
Umejuaje yeye ndiye aliyetongoza mke wa mtu au mke mtu ndiye aliyemtongoza?Malaya wapo kibao mpaka utongonze mke wa mtu ni panga tu ndoo dawa ya wazinzi
Ingekua murder kama jamaa angewakuta wana duu, akakaa chini akalia afu a kaenda tafuta panga ndo akaua. Ila kwa kesi ya jamaa ame act at flagante delicto at the heat of passion/ at aggigated state of mind na kumbuka kulikua na accumulative provocation as MJ alikua anakula mzigo mara kibao na akaonywa but akaendelea.Vipi kama itabainika kuwa jamaa aliweka mtego na s kwamba alirudi nyumbani kuja kufumania na kuua .hapo bado hana murder case?
Kufahamu siyo tatizo mkuu. Hata wewe unaweza kufahamu mke wako anatembea na mtu Fulani lakini katika mazingira usiyotarajia unawafuma kabisa. Kwa hiyo hapo jamaa bado anaweza kujitetea tu
Mazingira yasiyotarajiwa ni wewe kurudi nyumbani na kufumania mtu... lakini "umeweka mtego", hiyo inaondoa kutokuwa na matarajio. Mkuu ukitega swala, maana yake una matarajio kuwa anaweza kunasa... na umejiandaa na panga kabisa, wewe ulikuwa na dhamira.mazingira usiyotarajia unawafuma kabisa
Unapigaje kifo cha mende kwa mke wa mtu???!! Hatari sana....alitakiwa ainamishe ili iwe rahisi kuona pande zote na rahisi kukimbia mambo yakiharibika!!! Ona sasa kafa kizembeeee[emoji24]Jeshi la Polisi Mkoani Manyara, linamshikilia Samwel Alfred (48), mkazi wa Kijiji cha Magara wilayani hapa kwa tuhuma za kumuua Michael Jackson (25) baada ya kumfumania akizini na mke wake, Habiba Saidi (22).
Mtuhumiwa huyo, inaelezwa kuwa alitekeleza mauaji hayo kwa kumkata kwa panga marehemu aliyemkuta akivunja amri ya sita na mkewe.
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Manyara, Kamishna Msaidizi (ACP), Merrison Mwakyoma amesema tukio hilo limetokea saa 10 alfajiri ya leo, Septemba 8.
Kamanda huyo amesema Alfred alimuaga mkewe Habiba saa 10 alfajiri kuwa anakwenda kukata kuni na kumuacha akiwa amelala lakini mkewe huyo akampigia simu hawara yake Michael Jackson aende nyumbani kwake wakafanye mapenzi.
“Baada ya Jackson kufika walizunguka kwenye banda la ng’ombe na kutandika mgorore chini na kuanza kufanya mapenzi ila ghafla mumewe akarudi na kuwafumania,” amesema Kamanda Mwakyoma.
Kwa sababu Alfred alikuwa na panga mkononi, kamanda alisema alilitumia kumkata sehemu mbalimbali za mwili mpaka akafariki dunia. Mkewe ambaye alikuwa anamzuia asiendelee kumjeruhi marehemu naye alikatwa mkono uliodondoka chini.
“Tunaendelea na upelelezi wa tukio hilo na tunatarajia kumfikisha mahakamani Alfred baada ya uchunguzi kukamilika,” amesema kamanda Mwakyoma.
Kamanda Mwakyoma alitoa wito kwa jamii ya eneo hilo kuwa waoga katika kutembea na wake za watu kwani wivu wa mapenzi ni matukio yanayojitokeza mara kwa mara.
“Aliyeuawa ana miaka 25 na mwanamke ana miaka 22 mume aliyefumania ana miaka 48 wananchi wanatakiwa kuacha mapenzi yasiyo na tija kila mmoja achukue tahadhari,” amesema Kamanda Mwakyoma.
Mkazi wa kijiji cha Magara, Ally Ramadhan amesema Jackson ambaye bado ni kijana alikuwa na mahusiano ya kimapenzi na mke huyo wa mtu kwa muda mrefu na alionywa mara nyingi.
“Alfred alishapewa taarifa kuwa mkewe ana mahusiano ya kimapenzi na Jackson hivyo siku hiyo aliweka mtego ili aweze kuwafumani na ndivyo alivyofanya na kusababisha mauaji hayo,” amesema Ramadhan.
Ukivaa viatu vya huyu Mwamba lazima utamtetea tu.Walimuona Zombi kweli
Sidhani kama unafahamu sheria kiasi cha kutosha.Ameua mtu mmoja na kumjeruhi mwingine vibaya, hatakiwi kurudi uraiani tena.
Nafahamu kiasi cha kutosha kujua mtu anayemuua au kumjeruhi mwenzake kwa sababu ya mapenzi ni mhalifu hatari asiyepaswa kukaa uraiani.Sidhani kama unafahamu sheria kiasi cha kutosha.