Babati, Manyara: Mbaroni akituhumiwa kumuua aliyemfumania akizini na mkewe

Babati, Manyara: Mbaroni akituhumiwa kumuua aliyemfumania akizini na mkewe

Ndugu zangu wa hapo magara hamna tofauti na watu wa Yaeda chini kutembea na wake za watu mmeweka mbele Sana

Adhabu ya mzinifu n kuuawa king of pop WACKO JAKO KAFA KWA MARA YA PILI


Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Magara sio watata sana kama watu wa majengo, mara nyingi matukio hutokea majengo, wale wasangu na wanyeramba duuh wanaroho ngumu hatar
 
kesi hata bado haijaanza kusikilizwa,unasema aliwawekea mtego, haya maelezo ya muhandish hayatotumika mahakamani, na pia mshtakiwa hatosema kuwa aliwawekea mtego, sijui labda kwenye maelezo ya kuungama, hila hata hayo anaweza kuyakana pia mahakamani
Pia maelezo ya kamanda ni Kama wapo upande wa mtuhumiwa
 
Huyo mzee atapewa adhabu kidogo maana mke alikua wa halali, Mazingira ya tukio kwa akili kiduchu tu hakuna ambae angeacha kufanya lolote kukuta mali yake inaliwa. Kaua bila kukusudia.
 
Back
Top Bottom