let the caged bird sings
JF-Expert Member
- Sep 19, 2020
- 3,699
- 8,857
Kwa hiyo kuweka mtego wa kumkamata mwizi wao no kosa kisheria? 🤔🤔 By the way jamaa angalichagua kupiga ngumu ukuta
Kuua bila kukusudia miaka 7 jela.
Ila kwa kuwa aliwawekea mtego maana yake alikusudia, kifungo cha maisha.