Babati: Viongozi wa CCM wilaya ya Babati wamshamburia askari Polisi kwa mateke na fimbo, kisa tu kuulizwa kibali cha mkutano

Ifike mahali watu waache kudharau wenzao hivi kuonesha tu kibali walichopewa kulikuwa na shida gani,soldier akomae nao mpaka hatua ya mwisho vinginevyo mtu akipata kanafasi kidogo anaanza kuona wenzake hawana thamani.
 
Daah, hii ni below standard!

Walikua wamevaa yale mashati yao?

Sasa mimi na Saint Anne tutaambia nini watu? 🤣🤣🤣
Haki ya nani🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Bwana niache🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣


Hali ni tete huku kijani kibichi
 
Reactions: Pep
Kwa dhalau za mama na chuki anazoonyesha dhidi yenu mtapigwa sana. Kwanza na mzee wa MIPA kazi out

Na bado matajili wana uoga wa jiwe. Ukiwaisha tu nao wanaanza kuwazaba vibao. 2025 mtakuwa mmepata akili
 
Yani KILA kitu kiko WAZI ,alafu uchunguzi bado unaendelea, ila bora ni ccm ingekua chadema taarifa isingekua imetolewa
 
UVCCM miaka 46? Hili lichama ndo maana linatuletea hata Marais wa hovyo hovyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…