Ralph Tyler
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 2,828
- 3,579
Yaani eti katibu wa UVCCM ana umri wa miaka 46? Ndiyo kijana huyo?#HABARI KATIBU wa Chama cha Mapinduzi (@ccm_tanzania) wilayani Babati Filbert Mdaki (52) na Katibu wa Jumuiya ya Vijana UVCCM wa Wilaya hiyo, George Sanka (46) wanashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kumpiga Askari Polisi mateke na fimbo. /https://t.co/la4H3dEJXX https://t.co/4JAdYqRdUT
View attachment 2052547
usikute majambazi hao walinyimana ngawiraSasa,kwa nini ndugu wanapigana?
Ndugu Wakipinga Wewe chukua Jembe Ukalime ukirudi utakuta Wanepatana lao moja kukupora.Ugonvi Wa Ndugu musiuingilie
Posho za mkutano hazikumfikia,asingeuliza kibali kwa mabosi wake.Policccm naye anashambuliwa na CCM
Mbona kosa la kushambuliwa kwa askari hawalisemi?.
Huyo Polisi alitaka sifa , hakujua kuwa CCM hawahitaji kibali? Au katokea Rwanda?.