Babu akiyarudi madisco ya enzi zake na MJUKUU

Babu akiyarudi madisco ya enzi zake na MJUKUU

CPU

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2011
Posts
3,858
Reaction score
687
duuuh.jpg

Daah
 
Hiyo suruwali ya babu kama imeinuka kidogo hapoo kwenye zipu.! dah! hili balaa sasa.
 
Hiyo suruwali ya babu kama imeinuka kidogo hapoo kwenye zipu.! dah! hili balaa sasa.

Amoeba ......Amoeba umefanya jioni yangu iwe nzuri nimecheka balaaaaaaaaaaaaa teh teh teh
 
Sasa anichokoze mtu . . . .:msela:
 
Nahisi huyu Babu alikuwa Chek Bobu enzi zake
 
Teh teh teh . . . hapa kuna member kachangia hii thread anaitwa babu, sasa fafanua kidogo kuhusu huyo memba BABU




Aa.ye haitwi babu kama jina,ila wajukuu zake ndio humwita babu na wanasemaga eti anajua kukagua......sijui anakaguaga nini au na hapo juu ndio alikuwa anakagua?
 
Aa.ye haitwi babu kama jina,ila wajukuu zake ndio humwita babu na wanasemaga eti anajua kukagua......sijui anakaguaga nini au na hapo juu ndio alikuwa anakagua?

Alaaaaaaa! Nishamjua ni Babu nani, tena jina lake linaendana na dawa fulani ya kichwa ya siku nyingi sana . . . nimesahau jina la dawa yenyewe. Ni mtaalam sana wa kukagua VINU na VYUNGU vya kizungu na vya kiafrika. Hapo juu alikuwa anajiandaa kukagua
 
Ama kweli kikongwe hafi kitoto na kweli mzee kobe,binadamu wote ni sawa.
 
Back
Top Bottom