Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo suruwali ya babu kama imeinuka kidogo hapoo kwenye zipu.! dah! hili balaa sasa.
Teh teh teh . . . hapa kuna member kachangia hii thread anaitwa babu, sasa fafanua kidogo kuhusu huyo memba BABU
Aa.ye haitwi babu kama jina,ila wajukuu zake ndio humwita babu na wanasemaga eti anajua kukagua......sijui anakaguaga nini au na hapo juu ndio alikuwa anakagua?
😛lane: Yote heri!!