Babu ayubu ndio nani?
STEVE NYERERE KUMRADHI MI NAWAJUA BASI HAO WASANII WENU
Kuandika kwenyewe hujui halafu unaleta malalamiko sehemu isiyohusika. Huyo mkusanya rambi rambi alichaguluwa na JF? Rambi rambi si hutolewa kwa maandishi? Kama walimteua mtu wasiyemwamini basi hilo ni kosa lao na hizo fedha hazitapatikana tena.Ulimwengu auna huruma wandugu inasikitisha Sana mtu mwenye mikono na miguu kula pesa ya yatima ambayo watu kwa huruma zao wamechanga kumsaidia mtoto wa marehemu
Nimesikiliza radio moja ya africa mashariki mtuumiwa familia inamlalamikia yeye anadai alimpa dada wa marehemu 1.2 kweli aiingii akilini mtu km masogange rambirambi ya wasanii wote tz na watu wengine wengi walio mpenda masogange watoe 1.2 pekee ata mtaani kwetu tunachanga izo kwa mtu wa kawaida tu ije kuwa kwa Masogange.
Hiyo laana aikuachi salama wewe na huyo mwenzio sijui ndio pili pili rudisheni pesa mtoto akasome muwe mnaona aibu.
Mkuu ukileta ushenzi atakutana nao mwambie mamako anifundishe kuandika maana ndio mwalimu wa wanaume wanaoandika vizuriKuandika kwenyewe hujui halafu unaleta malalamiko sehemu isiyohusika. Huyo mkusanya rambi rambi alichaguluwa na JF? Rambi rambi si hutolewa kwa maandishi? Kama walimteua mtu wasiyemwamini basi hilo ni kosa lao na hizo fedha hazitapatikana tena.
Haha hatar snaKumradhi mood naomba ulekebishe ni steve nyerere sio babu ayubu naomba radhi