Babu Saidoo Ntibazonkiza bado ni mchezaji tegemezi ndani ya kikosi Cha Simba sc

Babu Saidoo Ntibazonkiza bado ni mchezaji tegemezi ndani ya kikosi Cha Simba sc

NALIA NGWENA

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2016
Posts
10,587
Reaction score
13,425
Haijalishi umri wake umeenda kiasi gani lakini kocha Robertinho bado anamuamini sana na kwa kupepesa macho kwenye benchi Sijaona wakumuweka benchi kiungo wa bujumbura Saidoo Ntibazonkiza.

NALIA NGWENA the game changer nilitegemea kuona Saidoo Ntibazonkiza akicheza/akiingia uwanjani dakika za lala salama kutokana na usajili mpya niliamini kabisa ndiyo mwisho wa utawala wa Babu Saidoo Ntibazonkiza.

Lakini nimeshangazwa sana kuona mwamba anacheza mpaka dakika za sabini Tena kavaa namba kumi kumaanisha kuwa bado yupo na ni tegemezi ndani ya kikosi Cha Simba sc.

My take ni ngumu sana kufika nusu fainali mpaka fainali kwenye michuano ya klabu bingwa Kama bado unakumbatia wachezaji wazee.

Nawasilisha hoja.
 
Mchezaji haukumiwi kwa mechi moja.
 
Yote tisa, hili la Kibu kucheza almost dk zote za match na kumuacha mtu kama Phiri nje huyu kocha ameniacha hoi mno.
 
FB_IMG_1682646137959 (2).jpg
FB_IMG_1682646137959 (2).jpg
FB_IMG_1682646137959 (2).jpg
FB_IMG_1682646137959 (2).jpg
FB_IMG_1682646137959 (2).jpg
FB_IMG_1682646137959 (2).jpg
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Haijalishi umri wake umeenda kiasi gani lakini kocha Robertinho bado anamuamini sana na kwa kupepesa macho kwenye benchi Sijaona wakumuweka benchi kiungo wa bujumbura Saidoo Ntibazonkiza.

NALIA NGWENA the game changer nilitegemea kuona Saidoo Ntibazonkiza akicheza/akiingia uwanjani dakika za lala salama kutokana na usajili mpya niliamini kabisa ndiyo mwisho wa utawala wa Babu Saidoo Ntibazonkiza.

Lakini nimeshangazwa sana kuona mwamba anacheza mpaka dakika za sabini Tena kavaa namba kumi kumaanisha kuwa bado yupo na ni tegemezi ndani ya kikosi Cha Simba sc.

My take ni ngumu sana kufika nusu fainali mpaka fainali kwenye michuano ya klabu bingwa Kama bado unakumbatia wachezaji wazee.

Nawasilisha hoja.
Huwa hauchoki kuiongelea Simba tuu? Huko UTOPOLONI huwa hauoni cha kukiandika?
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Haijalishi umri wake umeenda kiasi gani lakini kocha Robertinho bado anamuamini sana na kwa kupepesa macho kwenye benchi Sijaona wakumuweka benchi kiungo wa bujumbura Saidoo Ntibazonkiza.
Kama anafunga na kuassist, kuna shida yoyote?
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Haijalishi umri wake umeenda kiasi gani lakini kocha Robertinho bado anamuamini sana na kwa kupepesa macho kwenye benchi Sijaona wakumuweka benchi kiungo wa bujumbura Saidoo Ntibazonkiza.
Ni kweli, hata wananchi mnamkubali

1691383791361.png
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Back
Top Bottom